Video: Dkt. Janabi akiomba kura WHO katika mdahalo wa wagombea wa nafasi ya Mkurugenzi wa WHO Afrika

The Watchman

JF-Expert Member
Nov 7, 2023
1,141
1,944
Uzoefu katika sekta ya afya, ushauri kwa jamii, uongozi katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na uwezo wa kuvutia ufadhili na mikopo nafuu katika sekta ya afya ni miongoni mwa mambo aliyoyanadi Profesa Mohamed Janabi, katika mdahalo wa uchaguzi wa Mkurugenzi wa WHO Afrika.

Profesa Janabi ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na mshauri wa Rais wa Tanzania katika masuala ya afya na lishe, anawania nafasi hiyo iliyoachwa wazi baada ya kifo cha Dk Faustine Ndugulile kilichotokea Novemba 21, 2024.

Profesa Janabi ametoa sera hizo leo Jumatano Aprili 2, 2025 wakati akishiriki katika mdahalo wa wagombea wa nafasi hiyo unaoendelea.

 
Kila la kheri profesa wetu

2 April 2025
Brazaville, Congo

The debate of candidates for the World Health Organization (WHO) Regional Director for Africa is taking place today, April 2, 2025,

1743613488270.jpeg


in which Tanzanian Professor Mohamed Janabi is participating...
 
Uzoefu katika sekta ya afya, ushauri kwa jamii, uongozi katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na uwezo wa kuvutia ufadhili na mikopo nafuu katika sekta ya afya ni miongoni mwa mambo aliyoyanadi Profesa Mohamed Janabi, katika mdahalo wa uchaguzi wa Mkurugenzi wa WHO Afrika.

Profesa Janabi ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na mshauri wa Rais wa Tanzania katika masuala ya afya na lishe, anawania nafasi hiyo iliyoachwa wazi baada ya kifo cha Dk Faustine Ndugulile kilichotokea Novemba 21, 2024.

Profesa Janabi ametoa sera hizo leo Jumatano Aprili 2, 2025 wakati akishiriki katika mdahalo wa wagombea wa nafasi hiyo unaoendelea.

View attachment 3291187
Kumbe magufuli alimpiga chini jamaa ndio maana ,rest in peace magufuli


USSR
 
Shida CCM ndio inawaharibu hawa inapokuwa inapambania maslahi yake.

lakini Profesa mtu wa maana kabisa huyu
 
Uzoefu katika sekta ya afya, ushauri kwa jamii, uongozi katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na uwezo wa kuvutia ufadhili na mikopo nafuu katika sekta ya afya ni miongoni mwa mambo aliyoyanadi Profesa Mohamed Janabi, katika mdahalo wa uchaguzi wa Mkurugenzi wa WHO Afrika.

Profesa Janabi ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na mshauri wa Rais wa Tanzania katika masuala ya afya na lishe, anawania nafasi hiyo iliyoachwa wazi baada ya kifo cha Dk Faustine Ndugulile kilichotokea Novemba 21, 2024.

Profesa Janabi ametoa sera hizo leo Jumatano Aprili 2, 2025 wakati akishiriki katika mdahalo wa wagombea wa nafasi hiyo unaoendelea.

View attachment 3291187
Mungu amsimamie
 
Uzoefu katika sekta ya afya, ushauri kwa jamii, uongozi katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na uwezo wa kuvutia ufadhili na mikopo nafuu katika sekta ya afya ni miongoni mwa mambo aliyoyanadi Profesa Mohamed Janabi, katika mdahalo wa uchaguzi wa Mkurugenzi wa WHO Afrika.

Profesa Janabi ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na mshauri wa Rais wa Tanzania katika masuala ya afya na lishe, anawania nafasi hiyo iliyoachwa wazi baada ya kifo cha Dk Faustine Ndugulile kilichotokea Novemba 21, 2024.

Profesa Janabi ametoa sera hizo leo Jumatano Aprili 2, 2025 wakati akishiriki katika mdahalo wa wagombea wa nafasi hiyo unaoendelea.

View attachment 3291187
Mungu amsimamie
 
Mvaa kobazi huyo , unajua?
Mi mkristo lakini huu upuuzi wa ubaguzi wa kidini nauchukia sawa sawa na ukabila. Hizi dini wazee wetu walijiunga kwasababu ilikuwa ndio ya kwanza kufika ktk eneo alilopo babu yako hakuenda kuhemea kule ilikotoka. Amini na abudu kwa mujibu wa imani yako isiwe msingi wa ubaguzi, ni upuuzi
 
Mi mkristo lakini huu upuuzi wa ubaguzi wa kidini nauchukia sawa sawa na ukabila. Hizi dini wazee wetu walijiunga kwasababu ilikuwa ndio ya kwanza kufika ktk eneo alilopo babu yako hakuenda kuhemea kule ilikotoka. Amini na abudu kwa mujibu wa imani yako isiwe msingi wa ubaguzi, ni upuuzi
Ubarikiwe sana mkuu,dah Kuna ndugu zako wakristo hua Wana wachukia t waislam pasipo na sababu,haya mambo ya chuki hizi za kidini hua yanankwaza sana hata mie,sijui ni Nini Yani wakati dini hizi tumezikuta tu
 
Ukimsikiliza janaba na ukimwangalia anatia huruma sana. Ndo anashauri wote tuwe kama yeye? Mwili na uso kama huo? Yeye kwa miaka yake 60s huko haina shida sisi tupo kwenye 40s kweli tuwe na mwonekano huo? Kinyonge sana.

Hiyo nafasi apewe. Serikali imejitahidi sana kumpigia debe baada ya kifo chenye maswali cha Ndugulile. Huyu alikuwa msomi mwenye kujiamini. Hakuwa na back up kubwa kama ambayo anapata janaba kwa sasa. Nashauri apewe tu.
 
Ukimsikiliza janaba na ukimwangalia anatia huruma sana. Ndo anashauri wote tuwe kama yeye? Mwili na uso kama huo? Yeye kwa miaka yake 60s huko haina shida sisi tupo kwenye 40s kweli tuwe na mwonekano huo? Kinyonge sana.

Hiyo nafasi apewe. Serikali imejitahidi sana kumpigia debe baada ya kifo chenye maswali cha Ndugulile. Huyu alikuwa msomi mwenye kujiamini. Hakuwa na back up kubwa kama ambayo anapata janaba kwa sasa. Nashauri apewe tu.
View attachment 3291966
YUKO VIZURI.....ANAWEZA AKIWA HURU BLA POLITICS ZA WAAFRIKA. NAAMINI ATAPITA
 
Back
Top Bottom