Veteran Gudjohnsen earns Iceland place for Euro 2016

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
127,873
244,434
Mkongwe huyu mwenye miaka 37 amejumuishwa rasmi kwenye kikosi cha wachezaji 23 wa nchi hiyo kwenye michuano hiyo .

Aliwahi kuchezea Chelsea na baadaye akaenda China lakini hivi sasa ni mchezaji wa Norwegian club Molde .

Tusubiri tuone uwezo wake , je mpira ni sawa na baiskeli ? Kwamba ukijua kuendesha ndio umejua milele ?
 
Tatizo ni afya njema na mwili kuwa tayari kufanya kazi. Huyu inaonekana anajitunza na pia atakuwa mhamasishaji mkubwa kwa wachezaji wadogo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…