you nailed down kaka safi sanaNdugu Maggid,
Sekta ya Utalii ni sekta ambayo inachangia pato la Taifa kuliko Gold..
Fedha nyingi za kigeni, ajira nyingi, soko la mazao ya kilimo kama mboga na matunda
Mwaka 2014 Kenya walikuwa na watalii wengi zaidi kuliko Tanzania, japo Kenya walikuwa na misuko suko mingi sana ya kiusalama (Al Shabab).
Kulingana na World Bank report, Kenya waliizidi Tanzania kwa idadi ya watalii na kiwango cha Pesa.
Tanzania ina vivutio vingi na vizuri kuliko Kenya, Je Kwa nini Kenya wanapata watalii wengi na Pesa Nyingi zaidi?
Ndugu Maggid, Acha Propaganda...come to the real facts.....Tourism is professional Sector....Bla bla za siasa hazitakiwi
Mtalii kutoka UK, German, France and USA sio kama wewe Mtanzania sukari inapanda bei tu Kesho na unakubali..
Watalii wengi ni middle class na ni wafanyakazi....wanaweka akiba miaka 2 mpaka 5.....Kwao Budget ni kitu muhimu sana.
Tourist alishafanya makubaliano/mkataba na Travel Agent au Tour Operator na kulipia safari tangu January....So kigeu geu katika biashara haitakiwi...
Mkataba kati ya Mtalii na Tour Operator/Travel Agent ni sawa na Mkataba wa Serikali na Dowans au IPTL.....kama Magid unaona ni rahisi kuvunja mkataba.....Basi Serikali ingevunja mkataba kati ya IPTL na TANESCO..
Watalii Middle class ni wengi..na wachache sana ni Matajiri.....Cha ajabu...Mtalii Tajiri analipa Park entry fee sawa na Mtalii Middle class.
Kwa sasa kuna Cancellation nyingi, na watalii wengi hawaingalii Tena Tanzania kama Destination......Tourists are choosing other destinations
Maggid na wengine msiojua Tourism, kaeni mbali.....acheni kupotosha umma....Kama hujui Tembelea hata ofisi za TATO au TTB upewe Shule...Acha kudandia gari kwa mbele.....Utaaibika...
Tato wenyewe wamekaa kimaslahi na data za kupikaNdugu Maggid,
Sekta ya Utalii ni sekta ambayo inachangia pato la Taifa kuliko Gold..
Fedha nyingi za kigeni, ajira nyingi, soko la mazao ya kilimo kama mboga na matunda
Mwaka 2014 Kenya walikuwa na watalii wengi zaidi kuliko Tanzania, japo Kenya walikuwa na misuko suko mingi sana ya kiusalama (Al Shabab).
Kulingana na World Bank report, Kenya waliizidi Tanzania kwa idadi ya watalii na kiwango cha Pesa.
Tanzania ina vivutio vingi na vizuri kuliko Kenya, Je Kwa nini Kenya wanapata watalii wengi na Pesa Nyingi zaidi?
Ndugu Maggid, Acha Propaganda...come to the real facts.....Tourism is professional Sector....Bla bla za siasa hazitakiwi
Mtalii kutoka UK, German, France and USA sio kama wewe Mtanzania sukari inapanda bei tu Kesho na unakubali..
Watalii wengi ni middle class na ni wafanyakazi....wanaweka akiba miaka 2 mpaka 5.....Kwao Budget ni kitu muhimu sana.
Tourist alishafanya makubaliano/mkataba na Travel Agent au Tour Operator na kulipia safari tangu January....So kigeu geu katika biashara haitakiwi...
Mkataba kati ya Mtalii na Tour Operator/Travel Agent ni sawa na Mkataba wa Serikali na Dowans au IPTL.....kama Magid unaona ni rahisi kuvunja mkataba.....Basi Serikali ingevunja mkataba kati ya IPTL na TANESCO..
Watalii Middle class ni wengi..na wachache sana ni Matajiri.....Cha ajabu...Mtalii Tajiri analipa Park entry fee sawa na Mtalii Middle class.
Kwa sasa kuna Cancellation nyingi, na watalii wengi hawaingalii Tena Tanzania kama Destination......Tourists are choosing other destinations
Maggid na wengine msiojua Tourism, kaeni mbali.....acheni kupotosha umma....Kama hujui Tembelea hata ofisi za TATO au TTB upewe Shule...Acha kudandia gari kwa mbele.....Utaaibika...
Maggid nakupongeza kwa kusema ukweli dhahir na serikali naomba iwe na msimamo kwenye jambo hili, vinginevyo tukilegeza hawa makabaila watakua wanatugeuza watakavyo.
Ni kweli Amani ipo, vivutio vipo. Ni suala la kujisimamia kama Taifa naamini tutavuka.
Maggid nakupongeza kwa kusema ukweli dhahir na serikali naomba iwe na msimamo kwenye jambo hili, vinginevyo tukilegeza hawa makabaila watakua wanatugeuza watakavyo.
Ni kweli Amani ipo, vivutio vipo. Ni suala la kujisimamia kama Taifa naamini tutavuka.
Tato wenyewe wamekaa kimaslahi na data za kupika
Wewe hujui watanzania tunajihujumu wenyewe kwa taasisi zetu wenyewe?Wewe ndo unapika Data kwa kusema TATO wanapika Data.... Nenda TTB--Chombo cha serikali.....ukaangalie DATA wewe
Acha uvivu wa kusoma...Soma habari za kimataifa
Foreign body wades into tourism tax row
Someni hapo chini News International
Tanzania VAT hike sends safari industry into pandamoneum
New tourism tax roils Tanzania safari industry: Travel Weekly
{{metaTags.other['og:title']}}
Kwahiyo VAT ndo tatizo lililoko kwenye tourism?Hapa nadhani mnacholinda ni huo msimamo, lakini sisi tulioko kwenye utalii na tunaojua utalii tumeshaanza kuona kibano chake. Sisi ndio tunakabiliana na watalii na kuwapa ufafanuzi ndio tunajua hii ngoma ya VAT ina makali gani kwa wateja. Wewe na Maggid mnaleta siasa kwenye jambo la msingi kama hili. Kama mmeamua kusimamia kwenye msimamo hapo nitawaelewa, lakini kwenye uhalisia kwenye hilo tumechemsha.
Kwahiyo VAT ndo tatizo lililoko kwenye tourism?
Wewe binafsi umekwisha andika makala ngapi kuhusu namna ya kuboresha ongezeko la watalii nchini na mapato kwa ujumla ya taifa.Mada ni VAT kwenye utalii, kama ni matatizo yanaweza kuwa mengi, ila kama unataka tukuambie matatizo yaliyoko kwenye utalii fungua uzi huo tutakuja maana hii ndio sekta tunayofanyia kazi.
Mbona na ww unarukaruka kama mdudu ?Ndugu Maggid,
Sekta ya Utalii ni sekta ambayo inachangia pato la Taifa kuliko Gold..
Fedha nyingi za kigeni, ajira nyingi, soko la mazao ya kilimo kama mboga na matunda
Mwaka 2014 Kenya walikuwa na watalii wengi zaidi kuliko Tanzania, japo Kenya walikuwa na misuko suko mingi sana ya kiusalama (Al Shabab).
Kulingana na World Bank report, Kenya waliizidi Tanzania kwa idadi ya watalii na kiwango cha Pesa.
Tanzania ina vivutio vingi na vizuri kuliko Kenya, Je Kwa nini Kenya wanapata watalii wengi na Pesa Nyingi zaidi?
Ndugu Maggid, Acha Propaganda...come to the real facts.....Tourism is professional Sector....Bla bla za siasa hazitakiwi
Mtalii kutoka UK, German, France and USA sio kama wewe Mtanzania sukari inapanda bei tu Kesho na unakubali..
Watalii wengi ni middle class na ni wafanyakazi....wanaweka akiba miaka 2 mpaka 5.....Kwao Budget ni kitu muhimu sana.
Tourist alishafanya makubaliano/mkataba na Travel Agent au Tour Operator na kulipia safari tangu January....So kigeu geu katika biashara haitakiwi...
Mkataba kati ya Mtalii na Tour Operator/Travel Agent ni sawa na Mkataba wa Serikali na Dowans au IPTL.....kama Magid unaona ni rahisi kuvunja mkataba.....Basi Serikali ingevunja mkataba kati ya IPTL na TANESCO..
Watalii Middle class ni wengi..na wachache sana ni Matajiri.....Cha ajabu...Mtalii Tajiri analipa Park entry fee sawa na Mtalii Middle class.
Kwa sasa kuna Cancellation nyingi, na watalii wengi hawaingalii Tena Tanzania kama Destination......Tourists are choosing other destinations
Maggid na wengine msiojua Tourism, kaeni mbali.....acheni kupotosha umma....Kama hujui Tembelea hata ofisi za TATO au TTB upewe Shule...Acha kudandia gari kwa mbele.....Utaaibika...
Hizo ni porojo bana MPadmireMaggid, Kwanza hujaelewa suala lote la VAT kwenye Tourism....Mkurupuko Mwendokasi
Tour Operators and Travel Agents wanataka serikali iheshimu mkataba kati ya Tour Operator na mteja...So serikali iheshimu watalii ambao wameshalipa...Hivyo iahirishe mpaka 2017.
Serikali inaheshimu mkataba kati ya makampuni ya Gold....Au Mkataba kati ya TANESCO na IPTL....
Serikali ikubali tu Kenya imecheza rafu kumpoteza waziri wa Fedha...
Nunua Gazeti la Raia Mwema leo...uone jinsi Waziri Wa fedha alivyoshauriana na Waziri Wa Kenya...
Sisi tumeshinda Bomba la mafuta, kenya wanatuchezea rafu kwenye utalii....
Watanzania msiwe wavivu wa kusoma na kujifunza.....kama jambo hulijui....pita hivi
Foreign body wades into tourism tax row
Someni hapo chini News International
Tanzania VAT hike sends safari industry into pandamoneum
New tourism tax roils Tanzania safari industry: Travel Weekly
{{metaTags.other['og:title']}}