ngebo
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 1,684
- 2,127
Wenyewe habarini za mchana ,this thread pls tuelezee matukio ya kutisha ambayo wewe binafsi umeshawahi kukutana nayo dunia hii kwenye kuishi kwako, mimi binafsi sitosahau siku moja nilikua kijijini kwetu then ilikua usiku wa saa mbili ninakwenda dukani nikakutana na mtu mrefu kweli amevaa nguo nyeupe ila sura sikuweza kuona, ile nimefika mbele na kugeuka sikumwona tena, hizo mbio zilizofata ni noma nilivyofika dukani nikaomba escort ya kurudi hom
.
.
.
Nawakaribisha tuje kushare experience zetu , pls kama hujawahi kumbwa usicomment mambo yasiyo na busara pia MSILETE SIASA ,maana najua baadhi wataanza sema ,Lissu kupigwa risasi, sijui makinikia mara bombadia..etc so tuchill kwa hayo kwani jukwaa la siasa lipo .
Nawakilisha
.
.
.
Nawakaribisha tuje kushare experience zetu , pls kama hujawahi kumbwa usicomment mambo yasiyo na busara pia MSILETE SIASA ,maana najua baadhi wataanza sema ,Lissu kupigwa risasi, sijui makinikia mara bombadia..etc so tuchill kwa hayo kwani jukwaa la siasa lipo .
Nawakilisha