Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,197
- 3,581
Wadau naanzisha huu Uzi kwa ajili ya wale walipitia open university watoe ujuzi wao kuhusu elimu ya open,changamoto zake na faida zake ili kuwatia moyo hawa wanaotaka kujiunga mwaka mpya wa masomo 2017/2018 na kuendelea huko,uliza chochote utajibiwa na wanaojua.
Sent From fx.991
Sent From fx.991