Uzalishaji wa Mafuta Duniani, bado USA kaziacha by Far nchi za Gulf States

ward41

JF-Expert Member
Apr 3, 2022
749
2,532
1000143622.jpg


Watu wengi wamejidanganya Sana eti Marekani anaiba mafuta Uarabuni bila kujua Marekani ni kinara wa Uzalishaji wa crude oil duniani

USA anazalisha pipa million 21 kwa siku na kumuacha Saudi Arabia, Russia kwa mbali Sana.

Bado USA ni kinara kwenye Uzalishaji wa gesi duniani.

Ukijumlisha na high technology ni ngumu, ngumu Sana kwa Marekani kushuka Kiuchumi. Hawa jamaa watazidi kupaa Sana.

Mafuta_ kinara
Gesi_ kinara
Technology_ kinara

Tabu iko palepale kwa wachina, Russia, Japan, Europe

Marekani bado Ataendelea kuwa na uchumi Mkubwa kwa miaka mingi Sana.
 
View attachment 3184758


Watu wengi wamejidanganya Sana eti Marekani anaiba mafuta Uarabuni bila kujua Marekani ni kinara wa Uzalishaji wa crude oil duniani

USA anazalisha pipa million 21 kwa siku na kumuacha Saudi Arabia, Russia kwa mbali Sana.

Bado USA ni kinara kwenye Uzalishaji wa gesi duniani.

Ukijumlisha na high technology ni ngumu, ngumu Sana kwa Marekani kushuka Kiuchumi. Hawa jamaa watazidi kupaa Sana.

Mafuta_ kinara
Gesi_ kinara
Technology_ kinara

Tabu iko palepale kwa wachina, Russia, Japan, Europe

Marekani bado Ataendelea kuwa na uchumi Mkubwa kwa miaka mingi Sana.
US anazalisha pipa around 12m hadi 16m ( kwa Mujibu wa data za 2021 -2023) kwa siku na matumizi yake ni pipa 20m kwa Siku na kwa mwaka anaingiza takribani pipa 8m hadi 10m

Matumizi ya mafuta marekani ni 20% ya matumizi yoye ya dunia Anaemfatia ni china ana matumiz ya pipa 15m kwa mwez ingawa anazalisha around pipa 4m

1735146088754.jpeg
 
View attachment 3184758


Watu wengi wamejidanganya Sana eti Marekani anaiba mafuta Uarabuni bila kujua Marekani ni kinara wa Uzalishaji wa crude oil duniani

USA anazalisha pipa million 21 kwa siku na kumuacha Saudi Arabia, Russia kwa mbali Sana.

Bado USA ni kinara kwenye Uzalishaji wa gesi duniani.

Ukijumlisha na high technology ni ngumu, ngumu Sana kwa Marekani kushuka Kiuchumi. Hawa jamaa watazidi kupaa Sana.

Mafuta_ kinara
Gesi_ kinara
Technology_ kinara

Tabu iko palepale kwa wachina, Russia, Japan, Europe

Marekani bado Ataendelea kuwa na uchumi Mkubwa kwa miaka mingi Sana.
Bado mahitaji yao ya mafuta ni makubwa kuliko wanachozalisha.
 
View attachment 3184758


Watu wengi wamejidanganya Sana eti Marekani anaiba mafuta Uarabuni bila kujua Marekani ni kinara wa Uzalishaji wa crude oil duniani

USA anazalisha pipa million 21 kwa siku na kumuacha Saudi Arabia, Russia kwa mbali Sana.

Bado USA ni kinara kwenye Uzalishaji wa gesi duniani.

Ukijumlisha na high technology ni ngumu, ngumu Sana kwa Marekani kushuka Kiuchumi. Hawa jamaa watazidi kupaa Sana.

Mafuta_ kinara
Gesi_ kinara
Technology_ kinara

Tabu iko palepale kwa wachina, Russia, Japan, Europe

Marekani bado Ataendelea kuwa na uchumi Mkubwa kwa miaka mingi Sana.
Kama ingekuwa kweli marekani asingitumie fedha nyingi kiasi hicho kufinance vita middle east
 
View attachment 3184758


Watu wengi wamejidanganya Sana eti Marekani anaiba mafuta Uarabuni bila kujua Marekani ni kinara wa Uzalishaji wa crude oil duniani

USA anazalisha pipa million 21 kwa siku na kumuacha Saudi Arabia, Russia kwa mbali Sana.

Bado USA ni kinara kwenye Uzalishaji wa gesi duniani.

Ukijumlisha na high technology ni ngumu, ngumu Sana kwa Marekani kushuka Kiuchumi. Hawa jamaa watazidi kupaa Sana.

Mafuta_ kinara
Gesi_ kinara
Technology_ kinara

Tabu iko palepale kwa wachina, Russia, Japan, Europe

Marekani bado Ataendelea kuwa na uchumi Mkubwa kwa miaka mingi Sana.
Yes ni marekani,......sababu ya nguvu kazi waliyowekeza kama waarabu nao
wanajitahidi sababu ya nguvu kazi.......lakini si kwa maombi ya manabii feki๐Ÿ˜€๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜†,Wala kuweka benedera za Israel kwenye magari
 
View attachment 3184758


Watu wengi wamejidanganya Sana eti Marekani anaiba mafuta Uarabuni bila kujua Marekani ni kinara wa Uzalishaji wa crude oil duniani

USA anazalisha pipa million 21 kwa siku na kumuacha Saudi Arabia, Russia kwa mbali Sana.

Bado USA ni kinara kwenye Uzalishaji wa gesi duniani.

Ukijumlisha na high technology ni ngumu, ngumu Sana kwa Marekani kushuka Kiuchumi. Hawa jamaa watazidi kupaa Sana.

Mafuta_ kinara
Gesi_ kinara
Technology_ kinara

Tabu iko palepale kwa wachina, Russia, Japan, Europe

Marekani bado Ataendelea kuwa na uchumi Mkubwa kwa miaka mingi Sana.
Wewe unatakiwa urudi shule halafu uchapwe viboko 10 kila siku asubuhi
 
View attachment 3184758


Watu wengi wamejidanganya Sana eti Marekani anaiba mafuta Uarabuni bila kujua Marekani ni kinara wa Uzalishaji wa crude oil duniani

USA anazalisha pipa million 21 kwa siku na kumuacha Saudi Arabia, Russia kwa mbali Sana.

Bado USA ni kinara kwenye Uzalishaji wa gesi duniani.

Ukijumlisha na high technology ni ngumu, ngumu Sana kwa Marekani kushuka Kiuchumi. Hawa jamaa watazidi kupaa Sana.

Mafuta_ kinara
Gesi_ kinara
Technology_ kinara

Tabu iko palepale kwa wachina, Russia, Japan, Europe

Marekani bado Ataendelea kuwa na uchumi Mkubwa kwa miaka mingi Sana.
Inawezeka na wewe ni mjinga ama mpumbavu
OK,according to TUKI,mpumbavu ni mtu anayejifanya anajua akafundishwa bado akajifanya hajui.
Ok subiri sasa nikuoneshe Kwa nini wewe ni mpumbavu๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Kinachofanya nchi iwe tajiri sio reserve ama production,ni selling.........mfano mzuri ni Tanzania ina reserve na productions kubwa mno ya dhahabu,diamond na Tanzanite lakini anayefanya selling lakini mauzo yanaingia kwa wawekezaji,mimi na wewe na elimu zetu,PhD zetu tunabaki mapumbu TU.
Saudi Arabia,UAE,na Iraq.....inawezekana wanazalisha mafuta ya wastani tu,ila wanayouza asilimia 99% yanamilikiwa na serikali ya nchi zao.
Ila nchi kama U.S inawezekana wanazalisha mafuta mengi sana,lakini wanayouza yakawa yanamilikiwa na makampuni na si government of U.S.A,na pia U.S anauhitaji mkubwa WA oil kiasi naye anaimport while Arabic countries hawaimport oil๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ
Elimu bado hazijawasaidia makoloni ya kikrsto na hii ndio sababu matotokeo ya form 4 yakitoka Kagera,Kilimanjaro zainaongoza Zanzibar ya mwisho ila uchumi WA Zanzibar ni mara 10 ya uchumi wa Kagera plus Kilimanjaro combined๐Ÿ˜๐Ÿ˜†,while zanzibar Ina half population,......seminarini munafundishwa kukalili na si kutumia akilo zenu,kama uislam unavotaka,......na ndio maana Iraq imepigana vita miaka zaidi ya 20 ila Ian uchimi mara 5 ya nchi za kiroman catholic za kule America kama Equador,Columbia,Bolivia etc๐Ÿ˜„๐Ÿ˜๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜†
Angalia hii picture top 5 oil exporters 5 ni Islamic countries-----linapokuja suala la utajiri uisa upo mbele ya muda,.....huku ni kila mtu afanye kazi atafute chacke na sio wajanja wachache wakao parokiani wasuburi wapumbavu wachange machango wao waitumbue,pathetic๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 

Attachments

  • Screenshot_20241226-145925.png
    Screenshot_20241226-145925.png
    204.7 KB · Views: 3
Inawezeka na wewe ni mjinga ama mpumbavu
OK,according to TUKI,mpumbavu ni mtu anayejifanya anajua akafundishwa bado akajifanya hajui.
Ok subiri sasa nikuoneshe Kwa nini wewe ni mpumbavu๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Kinachofanya nchi iwe tajiri sio reserve ama production,ni selling.........mfano mzuri ni Tanzania ina reserve na productions kubwa mno ya dhahabu,diamond na Tanzanite lakini anayefanya selling lakini mauzo yanaingia kwa wawekezaji,mimi na wewe na elimu zetu,PhD zetu tunabaki mapumbu TU.
Saudi Arabia,UAE,na Iraq.....inawezekana wanazalisha mafuta ya wastani tu,ila wanayouza asilimia 99% yanamilikiwa na serikali ya nchi zao.
Ila nchi kama U.S inawezekana wanazalisha mafuta mengi sana,lakini wanayouza yakawa yanamilikiwa na makampuni na si government of U.S.A,na pia U.S anauhitaji mkubwa WA oil kiasi naye anaimport while Arabic countries hawaimport oil๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ
Elimu bado hazijawasaidia makoloni ya kikrsto na hii ndio sababu matotokeo ya form 4 yakitoka Kagera,Kilimanjaro zainaongoza Zanzibar ya mwisho ila uchumi WA Zanzibar ni mara 10 ya uchumi wa Kagera plus Kilimanjaro combined๐Ÿ˜๐Ÿ˜†,while zanzibar Ina half population,......seminarini munafundishwa kukalili na si kutumia akilo zenu,kama uislam unavotaka,......na ndio maana Iraq imepigana vita miaka zaidi ya 20 ila Ian uchimi mara 5 ya nchi za kiroman catholic za kule America kama Equador,Columbia,Bolivia etc๐Ÿ˜„๐Ÿ˜๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜†
Angalia hii picture top 5 oil exporters 5 ni Islamic countries-----linapokuja suala la utajiri uisa upo mbele ya muda,.....huku ni kila mtu afanye kazi atafute chacke na sio wajanja wachache wakao parokiani wasuburi wapumbavu wachange machango wao waitumbue,pathetic๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Ulikuwa na kitu cha kumuelimisha mtoa mada, lakini uwasilishaji wako ni shida.
 
Sehemu kubwa ya mafuta ambayo US anazalisha anayaexport. Kwa ajili ya matumizi yake ananunua, hasa kutoka Canada. US hapigani vita kuiba mafuta, anapigana vita kulinda dola kuwa pesa pekee ya kununulia mafuta.
 
Inawezeka na wewe ni mjinga ama mpumbavu
OK,according to TUKI,mpumbavu ni mtu anayejifanya anajua akafundishwa bado akajifanya hajui.
Ok subiri sasa nikuoneshe Kwa nini wewe ni mpumbavu๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Kinachofanya nchi iwe tajiri sio reserve ama production,ni selling.........mfano mzuri ni Tanzania ina reserve na productions kubwa mno ya dhahabu,diamond na Tanzanite lakini anayefanya selling lakini mauzo yanaingia kwa wawekezaji,mimi na wewe na elimu zetu,PhD zetu tunabaki mapumbu TU.
Saudi Arabia,UAE,na Iraq.....inawezekana wanazalisha mafuta ya wastani tu,ila wanayouza asilimia 99% yanamilikiwa na serikali ya nchi zao.
Ila nchi kama U.S inawezekana wanazalisha mafuta mengi sana,lakini wanayouza yakawa yanamilikiwa na makampuni na si government of U.S.A,na pia U.S anauhitaji mkubwa WA oil kiasi naye anaimport while Arabic countries hawaimport oil๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ
Elimu bado hazijawasaidia makoloni ya kikrsto na hii ndio sababu matotokeo ya form 4 yakitoka Kagera,Kilimanjaro zainaongoza Zanzibar ya mwisho ila uchumi WA Zanzibar ni mara 10 ya uchumi wa Kagera plus Kilimanjaro combined๐Ÿ˜๐Ÿ˜†,while zanzibar Ina half population,......seminarini munafundishwa kukalili na si kutumia akilo zenu,kama uislam unavotaka,......na ndio maana Iraq imepigana vita miaka zaidi ya 20 ila Ian uchimi mara 5 ya nchi za kiroman catholic za kule America kama Equador,Columbia,Bolivia etc๐Ÿ˜„๐Ÿ˜๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜†
Angalia hii picture top 5 oil exporters 5 ni Islamic countries-----linapokuja suala la utajiri uisa upo mbele ya muda,.....huku ni kila mtu afanye kazi atafute chacke na sio wajanja wachache wakao parokiani wasuburi wapumbavu wachange machango wao waitumbue,pathetic๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Pamoja na kujaribu kumdharirsha mleta ada na kjigamba, mwisho wa siku inadhihirika ulikuwa unatumia njia ndefu yenye mifano mingi iliyonyooka kuthibitisha ulivyo MJINGA.

Uzi unaongelea Oil producers wewe unakuja kupinga ukibadilisha topic kutoka oil producers to exporters.
 
View attachment 3184758


Watu wengi wamejidanganya Sana eti Marekani anaiba mafuta Uarabuni bila kujua Marekani ni kinara wa Uzalishaji wa crude oil duniani

USA anazalisha pipa million 21 kwa siku na kumuacha Saudi Arabia, Russia kwa mbali Sana.

Bado USA ni kinara kwenye Uzalishaji wa gesi duniani.

Ukijumlisha na high technology ni ngumu, ngumu Sana kwa Marekani kushuka Kiuchumi. Hawa jamaa watazidi kupaa Sana.

Mafuta_ kinara
Gesi_ kinara
Technology_ kinara

Tabu iko palepale kwa wachina, Russia, Japan, Europe

Marekani bado Ataendelea kuwa na uchumi Mkubwa kwa miaka mingi Sana.
Kuzalisha mafuta haimaanishi wewe sio mwizi. Kuna mambo unatakiwa uyafahamu.

1. Surplus ya Mafuta
Usa hakuna surplus kila wanachozalisha wanakitumia wa nahitaji zaidi mafuta hivyo inabidi wakatafute kwengine hayo mafuta.

2. Usa ni kama bara
Kila kitu Usa kinazalishwa kwa wingi sababu ni Li nchi likubwa mno. Nakupa baadhi ya data uelewe.

-Nchi zote za middle East Iran, Iraq, Saudi, Syria etc ukizijumlisha eneo lake ni kilomita za Mraba milioni 9
-Marekani ina kilomita za mraba milioni 9.

Hivyo unaona kieneo Usa ni kama Bara, middle East kwa Ujumla wana produce kama Barel Milioni 30 kwa siku hivyo per SqKM kuna uzalishaji mkubwa zaidi kuliko Usa.

Sababu per SqKM kuna uzalishaji mkubwa ni rahisi pia kuiba, ili kupata mafuta mengi unateka eneo dogo tu, compare to let's say kuiteka Urusi.
 
Sehemu kubwa ya mafuta ambayo US anazalisha anayaexport. Kwa ajili ya matumizi yake ananunua, hasa kutoka Canada. US hapigani vita kuiba mafuta, anapigana vita kulinda dola kuwa pesa pekee ya kununulia mafuta.
Anaiba pia, Syria mafuta yanaibiwa siku nyingi tu na ni open secret.
 
Back
Top Bottom