NgerukeAbra
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 1,313
- 1,987
Habari wana jukwaa...
Kwa heshima na taadhima tunaliomba shirikisho linalosimamia mpira wa miguu Afrika 'CAF' waturuhusu tuwape utopolo alama mbili Ili wafuzu hatua ya robo fainali.
Yanga atakuwa na jumla ya alama kumi ambazo zitaiwezesha timu hiyo kushika nafasi ya pili kwenye msimamo wa kundi lao na hivyo kufanikiwa kuingia hatua ya robo fainali.
Simba atabakiwa na alama kumi na moja ambazo zitaifanya ishike nafasi ya pili kwenye kundil lake na kufuzu kuingia robo fainali.
Kwa heshima na taadhima tunaliomba shirikisho linalosimamia mpira wa miguu Afrika 'CAF' waturuhusu tuwape utopolo alama mbili Ili wafuzu hatua ya robo fainali.
Yanga atakuwa na jumla ya alama kumi ambazo zitaiwezesha timu hiyo kushika nafasi ya pili kwenye msimamo wa kundi lao na hivyo kufanikiwa kuingia hatua ya robo fainali.
Simba atabakiwa na alama kumi na moja ambazo zitaifanya ishike nafasi ya pili kwenye kundil lake na kufuzu kuingia robo fainali.