Uteuzi wa viongozi

bbc

JF-Expert Member
Jan 18, 2016
3,836
4,146
Naanza kuwa na wasiwasi na uteuzi wa viongozi mbalimbali wa Mh. JPM, inakuwaje anateua mtu katika nafasi fulani au anamhamisha na baada ya muda mfupi anamrudisha nafasi ileile au kumpeleka kwingine mfano Prof. Mbarawa, Dr. Mpango, Maswi nk. Kwamba hakuna watu wengine wa kushika nafasi hizo au uchunguzi wa kina unakuwa haujafanyika kabla ya kuteua!
 
Kwa Maswi nadhani kuna jambo ameligundua, ama kutokana na yale mengi mabaya yaliyoandikwa na wadau kuhusu maovu yake, ama ameshindwa kuendana na kasi ya JPM. Tusubiri linakuja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…