Utabiri Mzito: Mwaka wa 2025 ni mwaka Tanganyika kuamua hatima yake

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Nov 10, 2022
6,614
13,859
Hayawi hayawi ndivyo ndelemo za 2025 zitakavyokuwa huu ni mwaka mwaka wa Tanganyika.

Si rahisi rahisi rahisi ndivyo itakavyokuwa.

Sumu haionjwi kwa ulimi, ni gusa unate, gusa unuke na usiponuka unaondoka kama Member, misifa mingi wakati huna agano na Mungu kwa uhai wako.

Leo Kiko wapi kalala huko Rondo tena alilala chap kwa haraka baada tu ya Ujio wa Mr Slim.

Tanganyika ipo na itakuwepo time will tell.

Yetu macho.

Pang Fung Mi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom