Ustaadh Yasin: Kisomo huanza na Chawa, Wapambe na kumalizia kwa Muhusika Mkuu wa Tukio yawezekana kabisa kimeshaanza kazi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
91,117
158,386
Nimeogopa sana 🐼

Kwamba kikisomwa kisomo Cha Kisasi basi usitegemee kitakuwa kama risasi itakayomlenga moja Kwa moja jambazi la hasha itaanza kufagia kwanza Chawa na Wapambe wa tukio zima

Ustaadh Yasin amesema Ogopa sana Wanadamu wanapompelekea mashtaka Allah

Nawatakia Dominica Njema 🌹
 
Nimeogopa sana 🐼

Kwamba kikisomwa kisomo Cha Kisasi basi usitegemee kitakuwa kama risasi itakayomlenga moja Kwa moja jambazi la hasha itaanza kufagia kwanza Chawa na Wapambe wa tukio zima

Ustaadh Yasin amesema Ogopa sana Wanadamu wanapompelekea mashtaka Allah

Nawatakia Dominica Njema 🌹
Hakuna cha visomo, ni upuuzi. Wapalestina wote ni waislamu wa visomo, bado wanasota for decades na visomo wanasoma kila uchao
 
Nimeogopa sana 🐼

Kwamba kikisomwa kisomo Cha Kisasi basi usitegemee kitakuwa kama risasi itakayomlenga moja Kwa moja jambazi la hasha itaanza kufagia kwanza Chawa na Wapambe wa tukio zima

Ustaadh Yasin amesema Ogopa sana Wanadamu wanapompelekea mashtaka Allah

Nawatakia Dominica Njema 🌹
Nataraji hata yule mlafi wa madaraja aliyekimbia chama baada ya kushindwa uchaguzi na kuamua kwenda kumchoma Mzee wetu kwa maneno ya uongo na kupelekea kifo chake. Huyu naye hatabaki salama.
 
Nimeogopa sana 🐼

Kwamba kikisomwa kisomo Cha Kisasi basi usitegemee kitakuwa kama risasi itakayomlenga moja Kwa moja jambazi la hasha itaanza kufagia kwanza Chawa na Wapambe wa tukio zima

Ustaadh Yasin amesema Ogopa sana Wanadamu wanapompelekea mashtaka Allah

Nawatakia Dominica Njema 🌹
Kama tulivyompelekea mashtaka Mungu kuhusu DIKTETA wa Chato. Aliiba uchaguzi October 2020 akafa March 2021
 
Em hvy visomo vianzie huko Gaza ili kila msababishi wa mauaji wapate dawa yao, ndio nitaamini mambo hayo
 
Nimeogopa sana 🐼

Kwamba kikisomwa kisomo Cha Kisasi basi usitegemee kitakuwa kama risasi itakayomlenga moja Kwa moja jambazi la hasha itaanza kufagia kwanza Chawa na Wapambe wa tukio zima

Ustaadh Yasin amesema Ogopa sana Wanadamu wanapompelekea mashtaka Allah

Nawatakia Dominica Njema 🌹
Na allah nae siyo kama mimi na wewe haangalii vitu kwa hisia na anapenda binaadamu anapotubia na hana visasi kama vya binaadamu na mwingi wa msamaha na huruma ndio maana unaona hadi leo kuna walevi, wazinifu , wauwaji wote hawa mungu huwapa riziki zao bila ya kupangiwa na mtu
Binaadamu wengi siku hizi wamejawa wivu, chuki hasad inayowqpelekea kuwa na roho ya visasi na chuki
Mambo ya hukumu tumuachie mungu , bila ya hata albadiri na mambo mengine hutoa haki bila ya upendeleo
 
Back
Top Bottom