Usipodhibiti hisia za kukosa pesa kunaweza fanya uwe na wivu na usumbufu wa kijinga kwenye mahusiano😔

Mwanasayansi Kalivubha

JF-Expert Member
Feb 4, 2024
259
688
USIPODHIBITI HISIA ZA KUKOSA PESA KUNAWEZA FANYA UWE NA WIVU NA USUMBUFU WA KIJINGA KWENYE MAHUSIANO😔

Ukimuona tu na marafiki wenye hela tayari unajua ni lazima atawapenda wao na kukuacha wewe.

Siku mkipishana tu kama kawaida ya watu ambao hamkuzaliwa pamoja wewe unajua anafanya hayo makusudi kwa sababu kakuona huna hela.

Asipoitikia simu zako kwa wakati hata kwa sababu tu yuko na mambo mengine na simu haipo karibu naye tayari utainua mawazo yako juu kuona ni sababu huna pesa ndio maana unafanyiwa hayo.


DHIBITI HISIA ZA KUKOSA PESA KWENYE MAHUSIANO.

Mahusiano ni haki ya wote maskini na tajiri sasa ikitokea huna pesa usiendeshwa na hisia za Kukosa pesa kwa sababu pesa huleta hisia sasa ukiishi kwa hisia za kukosa pesa ni lazima utaonekana msumbufu na mwenye wivu wa hovyo kwenye mahusiano.

#fikia Ndoto Zako
#Mwanasayansi Saul kalivubha
 
USIPODHIBITI HISIA ZA KUKOSA PESA KUNAWEZA FANYA UWE NA WIVU NA USUMBUFU WA KIJINGA KWENYE MAHUSIANO

Ukimuona tu na marafiki wenye hela tayari unajua ni lazima atawapenda wao na kukuacha wewe.

Siku mkipishana tu kama kawaida ya watu ambao hamkuzaliwa pamoja wewe unajua anafanya hayo makusudi kwa sababu kakuona huna hela.

Asipoitikia simu zako kwa wakati hata kwa sababu tu yuko na mambo mengine na simu haipo karibu naye tayari utainua mawazo yako juu kuona ni sababu huna pesa ndio maana unafanyiwa hayo.


DHIBITI HISIA ZA KUKOSA PESA KWENYE MAHUSIANO.

Mahusiano ni haki ya wote maskini na tajiri sasa ikitokea huna pesa usiendeshwa na hisia za Kukosa pesa kwa sababu pesa huleta hisia sasa ukiishi kwa hisia za kukosa pesa ni lazima utaonekana msumbufu na mwenye wivu wa hovyo kwenye mahusiano.

#fikia Ndoto Zako
#Mwanasayansi Saul kalivubha
Kuna hisia za kukosa pesa au fikra za kikosa pesa?, umasikini hauchochee hisia lakini hasira, pesa ndo inachochea hisia na mihemko.
 
Ukiondoka katika Hali ya utoto hata huo muda wa kufatilia mtu haupatikani ..
Wala usijali Sana majukumu yakikuijia hutakuwa na mawazo ya kitoto.
Maana mtu mzima ashacheza mechi nyingi kiasi kwamba vitu vidogo dogo hajali
 
Back
Top Bottom