Ushuru wa bandarini ukoje?

Hapana What

Senior Member
Dec 24, 2017
128
50
Ninaomba kujua ulipaji wa ushuru wa bandarini ukoje maana nahitaji kuagiza mashine toka China, mashine bei ni $ 2000 dimension zake urefu ni futi 8 upana fut 3 na kimo ni futi 4 lkn nashindwa kutokana na kutokujua gharama ya ushuru bandarini ukoje isije ikawa gharama kubwa zaidi ya mashine nikaikimbia

Msaada jamani?
 
 
Kwa mchanganuo kama nilivyoambatisha, ili uweze kukamilisha ugomboaji wa mashine yako inakubidi uandae kama TZS. 2,140,000/=

Kwa huduma ya Clearing & Forwarding kwa mizigo aina yote, karibu Ruaha Freight Ltd,
Wasiliana nasi;

Ruaha Freight Ltd,
Umati building 3rd Floor, Room No 18 Samora Avenue / zanaki street Dar es Salaam. P.O.Box 62442
Dar es Salaam
.
Email: info@ruahafreight.com
Website: www.ruahafreight.com
Tel: +255222128447

Mob: +255718 866 651 (call or whatsapp).
 

Attachments

  • Clearance Estimate-Machine.pdf
    28.1 KB · Views: 16
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…