Ushuhuda: Maajabu ya NoFap Challenge

Singasinga

JF-Expert Member
Aug 27, 2011
2,711
3,284
Za asubuhi wakuu(Au nikamuulize jogoo?

Nina siku ya 31 tangu nijiunge na harakati ya ukombozi wa nafsi iitwayo NoFap Challenge.

Kuna vitu vimenitokea naona kama hii kweli inasaidia kuponya nafsi tofauti na awali kabla sijajiunga na hii kitu.

Mfano nimefululiza siku za karibuni hapa napata ndoto zilizolowana(nyevu) yani uko na mwanamke unamuandaa vizuri ile ukitaka tu kuweka pipe unashtuka hapo hapo na inakua ushindi maana unakua hujazitoa shahawa.

So naona kama ni kitu cha kipekee maana kabla ya hapo nlikua nikiota ndoto za hivo lazima nipige bao ndo nishtuke.


Karibuni sana nafasi ziko wazi na siku sio nyingi tutafanya uchaguzi wa kupata safu ya uongozi wa chama chetu.


Screenshot_2022-09-17-08-34-34.jpg


Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
 
Sipo kwenye hiyo chalenge, ila binafsi nilikuwa mpiga nyeto mzuri tuu since nabalehe.

Nilifanikiwa kuacha kwa nofap, bila kujijua, yani ilifika kipindi nikikaa muda bila kumbusuka au kupiga nyeto basi ile "Inner Energy & Feeling" ninayokuwa nayo iko so amaizing, yani najifeel kwamba ndio mimi, najifeel niko syncronized, tofauti na nikipiga nyeto nakuwa niko so hopeless na najihisi kama mwili na roho havina ushirikiano.

Mpaka ikafika muda nikawa naichukia sana nyeto. Nikawa kama nina allergy nayo, na ndio ikawa bye bye mpaka leo..
 
Sipo kwenye hiyo chalenge, ila binafsi nilikuwa mpiga nyeto mzuri tuu since nabalehe.

Nilifanikiwa kuacha kwa nofap, bila kujijua, yani ilifika kipindi nikikaa muda bila kumbusuka au kupiga nyeto basi ile "Inner Energy & Feeling" ninayokuwa nayo iko so amaizing, yani najifeel kwamba ndio mimi, najifeel niko syncronized, tofauti na nikipiga nyeto nakuwa niko so hopeless na najihisi kama mwili na roho havina ushirikiano.

Mpaka ikafika muda nikawa naichukia sana nyeto. Nikawa kama nina allergy nayo, na ndio ikawa bye bye mpaka leo..
Hata mimi mara ya mwisho napiga nyeto,hiyo siku nilishinda niko hovyo sana kimwili kama nna maleria vile

Bahati nzuri nikakutana na ule uzi asee sikujiuliza mara mbili nikachukua kadi faster hadi leo hii na sitarajii kuacha.



Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
 
Za asubuhi wakuu(Au nikamuulize jogoo?

Nina siku ya 31 tangu nijiunge na harakati ya ukombozi wa nafsi iitwayo NoFap Challenge.

Kuna vitu vimenitokea naona kama hii kweli inasaidia kuponya nafsi tofauti na awali kabla sijajiunga na hii kitu.

Mfano nimefululiza siku za karibuni hapa napata ndoto zilizolowana(nyevu) yani uko na mwanamke unamuandaa vizuri ile ukitaka tu kuweka pipe unashtuka hapo hapo na inakua ushindi maana unakua hujazitoa shahawa.

So naona kama ni kitu cha kipekee maana kabla ya hapo nlikua nikiota ndoto za hivo lazima nipige bao ndo nishtuke.


Karibuni sana nafasi ziko wazi na siku sio nyingi tutafanya uchaguzi wa kupata safu ya uongozi wa chama chetu.


View attachment 2359398

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Sikuvunji moyo ila jua haya

1).kutokana na tafiti iliyofanywa hivi karibuni na kampuni inayojihusisha na utengenezaji wa condom "Durex" imetoa takwimu kwamba katika nchi ambayo ni sexualy active duniani ni UGIRIKI (GREECE) .

Na life expectacy ya ugiriki ni miaka 82.47 as per 2022 ni katika nchi 10 zenye watu wanaoishi umri mrefu zaidi duniani .

2).Tanzania haipo katika sexual active countries na takwimu isiyo rasmi inaonesha ni 32% tu ya watu ambao ni sexual active Hapa tanzania .

Life expectacy ya mtanzania ni 55.39 as per 2022.

UMEJIFUNZA NINI?
 
Sipo kwenye hiyo chalenge, ila binafsi nilikuwa mpiga nyeto mzuri tuu since nabalehe.

Nilifanikiwa kuacha kwa nofap, bila kujijua, yani ilifika kipindi nikikaa muda bila kumbusuka au kupiga nyeto basi ile "Inner Energy & Feeling" ninayokuwa nayo iko so amaizing, yani najifeel kwamba ndio mimi, najifeel niko syncronized, tofauti na nikipiga nyeto nakuwa niko so hopeless na najihisi kama mwili na roho havina ushirikiano.

Mpaka ikafika muda nikawa naichukia sana nyeto. Nikawa kama nina allergy nayo, na ndio ikawa bye bye mpaka leo..
Then you're one in a million.Unatakiwa ujengewe sanamu kwa kufanikiwa kuondokana na hiyo kitu.Wengi wameshindwa kuachana nayo.Hongera Sana mkuu.
 
Back
Top Bottom