Ushauri weni: Mama wa mtoto hatumi pesa ya matumizi nichukue hatua gani?

Sinwar nasrallah

JF-Expert Member
Oct 19, 2024
1,031
2,409
Nikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo

Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye

Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu

Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?

Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake

Msaaada wenu
 
Nikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo

Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya😡 akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye

Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu 😡

Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?😡

Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake

Msaaada wenu
Wewe noma aisee...
Unataka demu akutumie hela ya kukutunza?
 
Nikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo

Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya😡 akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye

Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu 😡

Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?😡

Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake

Msaaada wenu
Jukumu la kulipia mtoto ada, matumizi na mavazi ni lala baba kisheria ingawa mama anaweza kuchangia endapo mahakama inathibitisha mama anauwezo huo na baba hana uwezo sana.

Ila sasa ndio mwanaume wewe utasimamaje mahakani kuanza kudai pesa ya matumizi ya mtoto kutoka kwa mama kila mtu atashangaa.
Wanaume tulishabanwa na sheria hatuhemi.
 
Jukumu la kulipia mtoto ada, matumizi na mavazi ni lala baba kisheria ingawa mama anaweza kuchangia endapo mahakama inathibitisha mama anauwezo huo na baba hana uwezo sana.

Ila sasa ndio mwanaume wewe utasimamaje mahakani kuanza kudai pesa ya matumizi ya mtoto kutoka kwa mama kila mtu atashangaa.
Wanaume tulishabanwa na sheria hatuhemi.
CCM imepumbaza mitoto ya kizazi hiki
 
Nikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo

Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya😡 akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye

Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu 😡

Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?😡

Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake

Msaaada wenu
Do! hii dunia inaenda kasi kuzidi kasia!
nafikiri kama huu ujumbe umekosewa vile!
kama hali iko hivi basi ni mbaya sana.
 
Si ulitaka kumlea mwenyewe. Pambana
1739388788187.jpg
 
Nikiwa chuo niliishi kinyumba na dada mmoja tukabahatika kupata binti mrembo

Ila chuo kilipoisha ni km penzi lilikuwa linaelekea kufa bahati mbaya😡 akapata ajira mkoani
Kwa kuwa mtoto alifkisha miaka mitano tukakubaliana abaki kwetu aishi na bibi ake (mzazi wangu) Ili apate utulivu kwan hata hivyo muda mwingi alikuwa anaishi naye

Ila kinachonikera huyu hatutumii pesa ya matumizi mimi na mtoto wetu 😡

Yeye anapiga simu tu kwa bimkubwa kuongea na mtoto kila siku ila pesa hatutumii nifanyaje?😡

Nilifkiri kwenda mahakamani ila sijui utaratibu km unaruhusu kumshtak mwanamke asiyetunza mtoto wake

Msaaada wenu
Upate mume uolewe sasa upunguziwe majukumu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom