Ushauri: Kozi gani ya kusoma ya Biashara (Undergraduate)

JOH CARLOS

JF-Expert Member
May 13, 2016
579
269
Habari wanaJF;

Naomba ushauri, nimemaliza kidato cha sita 2015 ila sikwenda chuo. Sasa nahitaji kuapply mwaka huu. Napenda sana biashara, ni kozi gani nzuri ya kwenda kusoma?

Nawasilisha.
 
Mitihani ya PSTB, hii ni mitihani ya level ya proffessional. Zimegawanyika katika stage 5 yaan proffessional level 1 had 5. Kwa wale wa certificate na diploma wanaweza anzia prof level ya 2 nk, ila yule wa advanced diploma{higher diploma} na degree pia wataanzia prof level ya 4.

Prof level ya 5 hii ni level ya masters yaani for research ila digree au diploma anaweza fanya hiyo ilimradi awe amemaliza hizo stage za awali bila hata kupitia masters. Kama wa degree, wa diploma anaweza fanya prof level ya degree(prof ya 4) ikiwa amemaliza level za awali na anaweza piga hata hiyo level ya 5 bila ya degree wala masters.

Wale wa 4m4 & 4m6 wanaanzia foundation stages nazo zipo 4 wakimaliza zote hizo ndo wanaanzia prof 1 nk. Sifa kwa 4m 4 uwe na pass 4 ikiwemo ya maths & english ndo unaweza piga hizo foundation stages bila kupitia chuo.

Sasa hivi fani nyingi ukimalza chuo lazima upate usajili kutoka katika baraza husika mfano Engineering, Afya, Biashara(Uhasibu CPA(T), Procurement PSTB).

Ushauri: Kwanza soma chuo halafu ndo upige board.
 
apo mkuu utapiga noti had basi na hiyo bodi ni kwa mujibu wa sheria ya tz hii pia itakupa advantage kubwa ya kupata ajira ndan na nje ya nchi kwa urahisi, mfano halisi kwa macho yang nimeshuhudia jamaa wa masters kanyang'anywa cheo na mtu wa degree kisa hana chet cha bodi UKITAKA KUFANYA REFERNCE ANGALIA MTANDAON NAFASI ZA AJIRA QUALIFICATION ZINAZO HITAJIKA nadhan nimemaliza nakalibisha maswali mengine
 

asante sana bwana hassan.
vp iyo procurement and supply inahusiana na mambo ya nn hasa
 
hii koz ina angles nying sana na hiz ni kama zifuatazo;
{1}manunuz(procure) na mauzo ya materials mbalimbal ya ofisin au taasisi husika
{2}utoaj wa tenda mbalimbali ktk milad mikubwa ya selikari kama barabara,madaraja,umeme nk kwenda ktk makampun husika ya ujenz na tender zinginezo za manunuz
{3}usafirishaj wa materials(logistics) kwa njia mbalimbali kama roads, majin na angani
{4}kucontral na kuhifadh materials kupitia warehouse(godawn) & stores mbali mbali(materials management)
MTU WA PROCUREMENT ANA IDARA NYING ZA KUFANYA KAZI MBALI NA HIZO pia unaweza jiajiri kama supplier(msambazaj wa materials ktk makampuni mbalimbali) pia uwanja wa ajira mpana sana kwan waweza fanya kazi kama serikalin,viwanda,na taasisi mbalimbali za binafsi kwan procurer yuko sanjari na muhasibu ktk ufanyaj kaz mhasibu awez fanya kaz kama procurement haija takeplace pia procurers wanawezafanya kazi za logistics yaan usafirishaj wa materials from area of production to area of consumption kazi hiz pia zina patikan bandarin,airpot
 
vipo kama ifuatavyo;
{1}IAA kipo arusha
{2}UDOM
{3}MZUMBE
{4}COLLEGE OF BUSINESS EDUCATION(CBE)
{5} NATIONAL INSTITUTE OF TRANSPORT(NIT)
{6}UNIVERSITY OF ARUSHA
epuka kusoma vyuo visivyo na sifa kwan vipo ving sana mitaan kwa ushaur nenda ktk vyuo tajwa hapo juu NAZANI UMENIPATA MKUU?
 
Mkuu bila kusahau Tanzania institute of accountancy (TIA)
 
yaa! nafikiri nilisahau wako vizur pia mkuu
Hassan, mi nna interest na haya maeneo (undergraduate);

1. Finance
2. Accounting
3. Economics
4. Statistics
5. Shipping & Port Management (hii haipo TZ, nimeiona Southampton Solent University, UK)
6. Maritime Business & Maritime Law (Plymouth University,UK)

Kwa haraka haraka those are my targets, lakini sijazifanyia utafiti ipi iko vizuri na inalipa.

Kwa hizo za UK, kama utakua una ufahamu na mambo ya scholarship itakua vema ukitupa technique mbili tatu za kupata.

Shukran
 
hiyo 1&2 ni fani moja tu na inaitwa finance and account na mtu anayesoma procurement anayasoma haya masomo ndan ya kozi yke ikiwemo na economics ila anaechukua finance & account hasom procurement ILA NI FANI NZUR PIA TATIZO WAHASIBU WAKO WENG NA KUPATA KAZ ISHU HII INAWEZA CHANGIA KUTOKA NA UKALE WAKE KWAN PROCUREMENT NI MPYA ALAF WAASIBU ANGLES ZAO NI CHACHE KAZIN MFANO KAZ ZA AUDITING & ACCOUTING UKITAKA KUAMIN HILO TAFUTA WAHASIBU WALIO AJIRAN KWA MDA WATAKWAMBIA HILO NA MBADALA WA UHASIBU NI PROCUREMENT KUHUSU SCHOLARSHIP KUTOKA GOVT KWANZA WANACONSIDER UFAURU MKUBWA KTK COMB YA BIASHARA AU SCIENCE NA UWE UMEMALIZA MWAKA HUU ILA KAMA UNATAKA KWENDA KAMA PRIVATE NI RAHISI HIYO HAINA SHIDA pia 3&4 hiwa ni fani moja inaitwa economics & statitics pia nzur sn
 
Unaniruhusu nikukosoe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…