Brave_Idiot
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 209
- 368
Mzee wangu anaamini sana kwenye kilimo, nahofia nikimuomba mtaji wakuipromote app yangu ataona huyu kijana ananiletea utandawazi nyumbani kwangu. Ninamsimamia kazi yake moja huku Dar, yeye yupo Mwanza. Sasa nataka nivute laki tano chapu kwenye mfuko wa mauzo yake, niipromote hii app na ndani ya wiki niwe nauwezo wakuilejesha hela yake kabla hajanishtukia. Naamini nikiweza Kutengeneza downloads laki moja playstore, haitokua ngumu kurudisha hicho kiasi au na zaidi.
App inamfumo kama wa YouTube 100%, sasa nilikua naomba ushauri wa mfumo gani nitumie kuipromote kwa haraka nakufikia hayo malengo. Kiupande wangu nilikua nafikilia kuwatumia ma tiktoker kama clam vevo au Steve mweusi sema naona Balance ndo inakataa!!!
Msaada wa ushauri jamani nisije fukuzwa nyumbani

App inamfumo kama wa YouTube 100%, sasa nilikua naomba ushauri wa mfumo gani nitumie kuipromote kwa haraka nakufikia hayo malengo. Kiupande wangu nilikua nafikilia kuwatumia ma tiktoker kama clam vevo au Steve mweusi sema naona Balance ndo inakataa!!!
Msaada wa ushauri jamani nisije fukuzwa nyumbani

