USHAURI: Ewe Mhudumu wa Baa, wekeza mapema kabla ya umri kukutupa mkono

Kibosho1

JF-Expert Member
Dec 12, 2017
2,549
4,164
Nangalia maisha ya baamedi hayana tofauti na mchezaji wa mpira. Natumia mfano wa mchezaji wa mpira kwa sababu ana maisha mafupi kwenye kazi kuliko msanii, au mwanamitindo au hata muigizaji.

Kama ilivyo hali ya ajira kila mtu anaijua, tufanye baada ya kukosa ajira ukaamua kujilipua kuuza baa. Asilimia kuwa hakuna bamedi mgumu (mchoyo) akikunyima basi una gundu.

Unaanza kazi iyo una miaka 20, pambana kufikia 35 na ww uwe tayari unamiliki baa, na unajijenga. Utachezewa mpaka lini?

Siku izi hakuna baa inayotaka wahudumu wazee ya mwisho wa kuajiriwa ni 35 tu tena uwe vipodozi vimekukubaki kweli. Ukiwa mzembe miaka 40 haina kazi ulozoea, huna mtaji, labda hujaolewa, unaanza kujiuza official kwenye baa uliyozoeleka. Unajidhalilisha bure kujiuza kwenyewe sababu ya umri hauna soko tena.

Kuna mabaamedi nawajua kipindi naingia mjini kwa sasa wanatia huruma. Wamekuwa wazee wana maisha magumu sana. Ulikuwa unapata 30k kwa siku na bia za kutosha kwa sasa unauza uji unaingiza 5k tu kwa shida.

Tafakari ushauri huu ila Kumbuka ushauri wangu sio sheria?
 
Umenena......Kuna "kisebule" changu huwa napoa karibu na home baada ya mishe mishe zangu basi bwana mwaka jana mwanzoni wakatuletea kitoto kidogo kutoka huko mbulu, mtoto kanyooka balaaa, kifua kinaita chuchu saa sita, huko nyuma kafungasha hatariii, mtoto nyama nyingiiiii, basi bwana habari zikawafikia wakware, wakawa hawakauki "sebuleni" kwetu mtoto demand ikawa kubwa offer za beer za kutosha binti akatoka kunywa Serengeti lite akaamia kwenye windhoek, Savannah kama huna offer yake ya Savannah tatu, nne basi usijiangaishe, watu wakawa wanapanda dau, akataka macho matatu wakware wakanunua.

Mtoto akazidi kupendeza , sifa na uzuri wake zikavuma mpaka anga za mbali, wadau na wakware maarufu wakahamia sebuleni kwetu na kuweka kambi mpya, sebule yetu ikaanza kuonekana ndogo, hata sisi wenyeji ikabidi tuanze kunywa kwenye seat za gari, pesa ikamwaga mtoto akaanza kumwaga utamu Kama hana akili nzuri, mji ukamchanganya, pesa zikamlevya.

Well to make a story short now ni mwaka mmoja umepita, mtoto wa watu kachuja vibaya Sana, wakware wamemchakaza vibaya Sana, kakosa nuru, nadhani ana udongo mbaya huyu binti maana imekuwa haraka mno, masikini hata kile kifua kizuri Cha mvuto hakipo tena, kachoka masikini, kachunda, habari za hapa sebuleni Ni kuwa binti kaukwaa, wengine wanasema ametoa mimba vibaya, maneno ya binadamu ni mengi hata wale wakware wamemkimbia na kuamia bar nyingine wenyeji tumebaki sebuleni kwetu kwakuwa ndio nyumbani, Sasa hata tunakaa kwa amani, ooh nimesahau mrembo wetu amerudi kwenye Serengeti lite now zile Savannah hakuna tena.
 
Umenena......Kuna "kisebule" changu huwa napoa karibu na home baada ya mishe mishe zangu basi bwana mwaka jana mwanzoni wakatuletea kitoto kidogo kutoka huko mbulu, mtoto kanyooka balaaa, kifua kinaita chuchu saa sita, nyuma kafungasha hatariii, habari zikawafikia wakware, wakawa hawakauki "sebuleni" kwetu mtoto demand ikawa kubwa offer za beer za kutosha binti akatoka kunywa Serengeti lite akaamia kwenye windhoek, Savannah kama huna offer yake ya Savannah tatu, nne basi usijiangaishe, watu wakawa wanapanda dau, akataka macho matatu wakware wakanunua.

Mtoto akazidi kupendeza , sifa na uzuri wake zikavuma mpaka anga za mbali, wadau na wakware maarufu wakahamia sebuleni kwetu na kuweka kambi mpya, sebule yetu ikaanza kuonekana ndogo, hata sisi wenyeji ikabidi tuanze kunywa kwenye seat za gari, pesa ikamwaga mtoto akaanza kumwaga utamu Kama hana akili nzuri, mji ukamchanganya, pesa zikamlevya.

Well to make a story short now ni mwaka mmoja umepita, mtoto wa watu kachuja vibaya Sana, wakware wamemchakaza vibaya Sana, kakosa nuru, nadhani ana udongo mbaya huyu binti maana imekuwa haraka mno, masikini hata kile kifua kizuri Cha mvuto hakipo tena, kachoka masikini, kachunda, habari za hapa sebuleni Ni kuwa binti kaukwaa, wengine wanasema ametoa mimba vibaya, maneno ya binadamu ni mengi hata wale wakware wamemkimbia na kuamia bar nyingine wenyeji tumebaki sebuleni kwetu kwakuwa ndio nyumbani, Sasa hata tunakaa kwa amani, ooh nimesahau mrembo wetu amerudi kwenye Serengeti lite now zile Savannah hakuna tena.
Mangi asee na wewe umepona kweli?
 
Umenena......Kuna "kisebule" changu huwa napoa karibu na home baada ya mishe mishe zangu basi bwana mwaka jana mwanzoni wakatuletea kitoto kidogo kutoka huko mbulu, mtoto kanyooka balaaa, kifua kinaita chuchu saa sita, nyuma kafungasha hatariii, habari zikawafikia wakware, wakawa hawakauki "sebuleni" kwetu mtoto demand ikawa kubwa offer za beer za kutosha binti akatoka kunywa Serengeti lite akaamia kwenye windhoek, Savannah kama huna offer yake ya Savannah tatu, nne basi usijiangaishe, watu wakawa wanapanda dau, akataka macho matatu wakware wakanunua.

Mtoto akazidi kupendeza , sifa na uzuri wake zikavuma mpaka anga za mbali, wadau na wakware maarufu wakahamia sebuleni kwetu na kuweka kambi mpya, sebule yetu ikaanza kuonekana ndogo, hata sisi wenyeji ikabidi tuanze kunywa kwenye seat za gari, pesa ikamwaga mtoto akaanza kumwaga utamu Kama hana akili nzuri, mji ukamchanganya, pesa zikamlevya.

Well to make a story short now ni mwaka mmoja umepita, mtoto wa watu kachuja vibaya Sana, wakware wamemchakaza vibaya Sana, kakosa nuru, nadhani ana udongo mbaya huyu binti maana imekuwa haraka mno, masikini hata kile kifua kizuri Cha mvuto hakipo tena, kachoka masikini, kachunda, habari za hapa sebuleni Ni kuwa binti kaukwaa, wengine wanasema ametoa mimba vibaya, maneno ya binadamu ni mengi hata wale wakware wamemkimbia na kuamia bar nyingine wenyeji tumebaki sebuleni kwetu kwakuwa ndio nyumbani, Sasa hata tunakaa kwa amani, ooh nimesahau mrembo wetu amerudi kwenye Serengeti lite now zile Savannah hakuna tena.
Atakuwa H.I.V positive huyo.
 
Umenena......Kuna "kisebule" changu huwa napoa karibu na home baada ya mishe mishe zangu basi bwana mwaka jana mwanzoni wakatuletea kitoto kidogo kutoka huko mbulu, mtoto kanyooka balaaa, kifua kinaita chuchu saa sita, huko nyuma kafungasha hatariii, mtoto nyama nyingiiiii, basi bwana habari zikawafikia wakware, wakawa hawakauki "sebuleni" kwetu mtoto demand ikawa kubwa offer za beer za kutosha binti akatoka kunywa Serengeti lite akaamia kwenye windhoek, Savannah kama huna offer yake ya Savannah tatu, nne basi usijiangaishe, watu wakawa wanapanda dau, akataka macho matatu wakware wakanunua.

Mtoto akazidi kupendeza , sifa na uzuri wake zikavuma mpaka anga za mbali, wadau na wakware maarufu wakahamia sebuleni kwetu na kuweka kambi mpya, sebule yetu ikaanza kuonekana ndogo, hata sisi wenyeji ikabidi tuanze kunywa kwenye seat za gari, pesa ikamwaga mtoto akaanza kumwaga utamu Kama hana akili nzuri, mji ukamchanganya, pesa zikamlevya.

Well to make a story short now ni mwaka mmoja umepita, mtoto wa watu kachuja vibaya Sana, wakware wamemchakaza vibaya Sana, kakosa nuru, nadhani ana udongo mbaya huyu binti maana imekuwa haraka mno, masikini hata kile kifua kizuri Cha mvuto hakipo tena, kachoka masikini, kachunda, habari za hapa sebuleni Ni kuwa binti kaukwaa, wengine wanasema ametoa mimba vibaya, maneno ya binadamu ni mengi hata wale wakware wamemkimbia na kuamia bar nyingine wenyeji tumebaki sebuleni kwetu kwakuwa ndio nyumbani, Sasa hata tunakaa kwa amani, ooh nimesahau mrembo wetu amerudi kwenye Serengeti lite now zile Savannah hakuna tena.
nimecheka hatariiii
 
Umenena......Kuna "kisebule" changu huwa napoa karibu na home baada ya mishe mishe zangu basi bwana mwaka jana mwanzoni wakatuletea kitoto kidogo kutoka huko mbulu, mtoto kanyooka balaaa, kifua kinaita chuchu saa sita, huko nyuma kafungasha hatariii, mtoto nyama nyingiiiii, basi bwana habari zikawafikia wakware, wakawa hawakauki "sebuleni" kwetu mtoto demand ikawa kubwa offer za beer za kutosha binti akatoka kunywa Serengeti lite akaamia kwenye windhoek, Savannah kama huna offer yake ya Savannah tatu, nne basi usijiangaishe, watu wakawa wanapanda dau, akataka macho matatu wakware wakanunua.

Mtoto akazidi kupendeza , sifa na uzuri wake zikavuma mpaka anga za mbali, wadau na wakware maarufu wakahamia sebuleni kwetu na kuweka kambi mpya, sebule yetu ikaanza kuonekana ndogo, hata sisi wenyeji ikabidi tuanze kunywa kwenye seat za gari, pesa ikamwaga mtoto akaanza kumwaga utamu Kama hana akili nzuri, mji ukamchanganya, pesa zikamlevya.

Well to make a story short now ni mwaka mmoja umepita, mtoto wa watu kachuja vibaya Sana, wakware wamemchakaza vibaya Sana, kakosa nuru, nadhani ana udongo mbaya huyu binti maana imekuwa haraka mno, masikini hata kile kifua kizuri Cha mvuto hakipo tena, kachoka masikini, kachunda, habari za hapa sebuleni Ni kuwa binti kaukwaa, wengine wanasema ametoa mimba vibaya, maneno ya binadamu ni mengi hata wale wakware wamemkimbia na kuamia bar nyingine wenyeji tumebaki sebuleni kwetu kwakuwa ndio nyumbani, Sasa hata tunakaa kwa amani, ooh nimesahau mrembo wetu amerudi kwenye Serengeti lite now zile Savannah hakuna tena.
Story imenyooka sana, kiufupi Jasiri haachia asili.
 
Back
Top Bottom