USAFIRI WA TRENI DAR TO SHINYANGA

usijalisana

Member
Jan 31, 2019
26
9
Habari wanajukwaa, natumai wote mko poa. Shida yangu naomba kufahamishwa ikiwa kuna usafiri wa treni kuanzia Dar to Shinyanga na ni sh. ngapi na inachukua muda gani. Wassalam
 
Usafiri wa treni Dar - shinyanga upo nenda pale shauri moyo gerezani ofisi za trc watakupa bei
 
Habari wanajukwaa, natumai wote mko poa. Shida yangu naomba kufahamishwa ikiwa kuna usafiri wa treni kuanzia Dar to Shinyanga na ni sh. ngapi na inachukua muda gani. Wassalam
Panda gari unaweza ukapoteza hata wiki njiani na gharama ikazidi hata ya nauli ya gari.
 
Gogo la kwenda Shinyanga -Mwanza sijui kama bado lipo
Tumelipanda.sana na washkaj toka Dodoma 2009-2011 kipindi tupo skuli
 
Back
Top Bottom