Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
18,013
45,287
Nchi yetu imejaa watu wanafiki, ama wanaotafuta sifa za kijinga au wanaoishi kwa hadaa. Wanaotamka 1 lakini wanamaanisha 5.

Hivi karibuni kumeibuka kelele za kinafiki toka kwa baadhi ya wanafiki kuwa mtandao wa X (zamani Twitter) ufungiwe eti unahamasisha ushoga. Ukiwauliza umehamasisha wapi, hawawezi kukuambia.

Pia soma: Waziri Nape akiri kufuatilia mijadala inayoendelea kuhusu mtandao wa X kufungiwa, asema TCRA itatimiza wajibu kuhakikisha watoto wanakuwa salama

Lakini hata kama kweli ingetokea huko kwenye mtandao wa X kukawa na mambo ya hovyo, hivi sisi kweli ni wasafi kiasi cha kuwa na uhalali wa kukemea huo uchafu?

Jamii yetu iimejaa uchafu mwingi, tena wenye madhara makubwa kupindukia, huenda kuzidi hata madhara ya ushoga. Serikali imejaa ufisadi, na taarifa za CAG zinathibitisha.

Viongozi wanawatesa wananchi maskini kununua sukari kwa bei ya mara mbili ya bei iliyokuwepo ili kuwanufaisha watawala, mbunge Mpina amethibitisha hili kwa vielelezo.

Kuna viongozi wa Serikali wana tuhuma za kuwabaka mabinti wao wa kazi, wengine wana tuhuma mpaka za kuwabaka na kuwalawiti wanavyuo. Wote hao tunao humu humu. Na wengine wanaendelea kula na kuiba kwa urefu wa kamba zao.

Watawala wanatapanya rasilimali kidogo kwa maisha ya anasa, kuzunguka na mamia ya wasanii Duniani kwa gharama ya maskini wa Tanzania. Watawala wanachezea pesa kwa kununua na kubadilisha magari ya kifahari, kwa mikopo itakayokuja kuwatesa maskini wa kesho.

Enyi wanafiki, mbona hamjashauri tuifungie Serikali kwa uovu huo wote ambao unatendeka ndani ya nchi na unawatesa mamilioni ya Watanzania wa sasa na wa kesho?

Pia soma: CCM na Serikali tuambieni ukweli, kelele za kutaka X(Twitter) ifungiwe ni maandalizi ya kuzima mitandao kipindi cha uchaguzi

Nashawishika kuamini kuwa wote wanaoshauri mtandao wa X ufungiwe, hawaumizwi na ushoga bali wanaumizwa na Watanzania wanaoikosoa Serikali na viongozi wake kwa maovu mengi kupitia mtandao huo wa X.

Kama kweli kweli wangekuwa wanaumizwa na maovu, kwanza wangeanza na maovu mengi yaliyokithiri, hasa ndani ya Serikali, na wangeomba au kushauri tuifungie hii Serikali inayoyalea maovu haya.
 
Watu wanakesha Mitandaoni kutafuta Fursa na huko ndio wanakutana na mambo mazuri na mabaya.

Serikali itengeneze Ajira kwa Vijana hapatakuwepo tena hofu ya Ushoga.

Serikali iimarishe kilimo asilia hapakuwepo tena hofu ya Ushoga.

Serikali ijikite kwenye tafiti za Chanjo zetu kama Urusi na North Korea hapatakuwepo tena hofu ya Ushoga

Serikali iwafunge Mafisadi kwani Sodoma na Gomola Chanzo Cha kuteketezwa Kwake ni Ufisadi uliokithiri so wenye Fedha na Madaraka wakafanya starehe zote na mwisho wakafanya Ibada za Makafara ya Ubasha yaani kuingiliana kinyume Cha maumbile Ili kumtukuza Shetani

Jumatatu yako iwe ya Baraka!
 
Nchi yetu imejaa watu wanafiki, ama wanaotafuta sifa za kijinga au wanaoishi kwa hadaa. Wanaotamka 1 lakini wanamaanisha 5.

Hivi karibuni kumeibuka kelele za kinafiki toka kwa baadhi ya wanafiki kuwa mtandao wa X (zamani Twitter) ufungiwe eti unahamasisha ushoga. Ukiwauliza umehamasisha wapi, hawawezi kukuambia.

Lakini hata kama kweli ingetokea huko kwenye mtandao wa X kukawa na mambo ya hovyo, hivi sisi kweli ni wasafi kiasi cha kuwa na uhalali wa kukemea huo uchafu?

Jamii yetu iimejaa uchafu mwingi, tena wenye madhara makubwa kupindukia, huenda kuzidi hata madhara ya ushoga. Serikali imejaa ufisadi, na taarifa za CAG zinathibitisha. Viongozi wanawatesa wananchi maskini kununua sukari kwa bei ya mbili ya bei iliyokuwepo ili kuwanufaisha watawala, mbunge Mpina amethibitisha hili kwa vielelezo. Kuna viongozi wa Serikali wana tuhuma za kuwabaka mabinti wao wa kazi, wengine wana tuhuma mpaka za kuwabaka na kuwalawiti wanavyuo. Wote hao tunao humu humu. Na wengine wanaendelea kula na kuiba kwa urefu wa kamba zao. Watawala wanatapanya rasilimali kidogo kwa maisha ya anasa, kuzunguka na mamia ya wasanii Duniani kwa gharama ya maskini wa Tanzania. Watawala wanachezea pesa kwa kununua na kubadilisha magari ya kifahari, kwa mikopo itakayokuja kuwatesa maskini wa kesho.

Enyi wanafiki, mbona hamjashauri tuifungie Serikali kwa uovu huo wote ambao unatendeka ndani ya nchi na unawatesa mamilioni ya Watanzania wa sasa na kesho?

Nashawishika kuamini kuwa wote wanaoshauri mtandao wa X ufungiwe, hawaumizwi na ushoga bali wanaumizwa na Watanzania wanaoikosoa Serikali na viongozi wake kwa maovu mengi kupitia mtandao huo wa X. Kama kweli kweli wangekuwa wanaumizwa na maovu, kwanza wangeanza na maovu mengi yaliyokithiri, hasa ndani ya Serikali, na wangeomba au kushauri tuifungie hii Serikali inayoyalea maovu haya.
Vile unavyoona mlevi anafuta mate upande wa kushoto anatema upande wa kulia.
 
Watu wanakesha Mitandaoni kutafuta Fursa na huko ndio wanakutana na mambo mazuri na mabaya

Serikali itengeneze Ajira kwa Vijana hapatakuwepo tena hofu ya Ushoga

Serikali iimarishe kilimo asilia hapakuwepo tena hofu ya Ushoga

Serikali ijikite kwenye tafiti za Chanjo zetu kama Urusi na North Korea hapatakuwepo tena hofu ya Ushoga

Serikali iwafunge Mafisadi kwani Somola na Gomola Chanzo Cha kuteketezwa Kwake ni Ufisadi uliokithiri so wenye Fedha na Madaraka wakafanya starehe zote na mwisho wakafanya Ibada za Makafara ya Ubasha yaani kuingiliana kinyume Cha maumbile Ili kumtukuza Shetani

Jumatatu yako iwe ya Baraka!
🎯🙏
 
Hii ni double standard ya hali ya juu sana. Kama ni kudhibiti basi wa kwanza kudhibitiwa awe Serikali coz uchafu mwingi unatoka serikalini.
Asante mtoa mada.
 
Waanze kuifungia Tiktok

TikTok Kuna ouzo mwingi sana ukilinganisha na Twitter (x)

Kama yule chokuu m ananiuzi😏
 
Nchi yetu imejaa watu wanafiki, ama wanaotafuta sifa za kijinga au wanaoishi kwa hadaa. Wanaotamka 1 lakini wanamaanisha 5.

Hivi karibuni kumeibuka kelele za kinafiki toka kwa baadhi ya wanafiki kuwa mtandao wa X (zamani Twitter) ufungiwe eti unahamasisha ushoga. Ukiwauliza umehamasisha wapi, hawawezi kukuambia.

Lakini hata kama kweli ingetokea huko kwenye mtandao wa X kukawa na mambo ya hovyo, hivi sisi kweli ni wasafi kiasi cha kuwa na uhalali wa kukemea huo uchafu?

Jamii yetu iimejaa uchafu mwingi, tena wenye madhara makubwa kupindukia, huenda kuzidi hata madhara ya ushoga. Serikali imejaa ufisadi, na taarifa za CAG zinathibitisha.

Viongozi wanawatesa wananchi maskini kununua sukari kwa bei ya mara mbili ya bei iliyokuwepo ili kuwanufaisha watawala, mbunge Mpina amethibitisha hili kwa vielelezo.

Kuna viongozi wa Serikali wana tuhuma za kuwabaka mabinti wao wa kazi, wengine wana tuhuma mpaka za kuwabaka na kuwalawiti wanavyuo. Wote hao tunao humu humu. Na wengine wanaendelea kula na kuiba kwa urefu wa kamba zao.

Watawala wanatapanya rasilimali kidogo kwa maisha ya anasa, kuzunguka na mamia ya wasanii Duniani kwa gharama ya maskini wa Tanzania. Watawala wanachezea pesa kwa kununua na kubadilisha magari ya kifahari, kwa mikopo itakayokuja kuwatesa maskini wa kesho.

Enyi wanafiki, mbona hamjashauri tuifungie Serikali kwa uovu huo wote ambao unatendeka ndani ya nchi na unawatesa mamilioni ya Watanzania wa sasa na wa kesho?

Nashawishika kuamini kuwa wote wanaoshauri mtandao wa X ufungiwe, hawaumizwi na ushoga bali wanaumizwa na Watanzania wanaoikosoa Serikali na viongozi wake kwa maovu mengi kupitia mtandao huo wa X.

Kama kweli kweli wangekuwa wanaumizwa na maovu, kwanza wangeanza na maovu mengi yaliyokithiri, hasa ndani ya Serikali, na wangeomba au kushauri tuifungie hii Serikali inayoyalea maovu haya.
Mbona hata FB kuna watanzania wanafanya biashara za ngono na wateja wao ni watanzania?

Siku hizi mpaka kwenye majukwaa kuna lugha zisizo na maadili kulingana na mila zetu.
Zipo nyimbo nyingi za wasanii wa bongo haziendani na mila zetu lakini zinapigwa mpaka kwenye mikesha ya mwenge. Mikesha isiyoendana na maadili yetu . Na pia Mwenge sio maadili ya mwafrika na mila zetu ni mila za kigeni.

Mwenyezi Mungu alishusha aya kwa ajili ya Wanafiki .

Napendekeza Aya nzima inayohusu wanafiki iwekwe kwenye Katiba
 
Watu wanakesha Mitandaoni kutafuta Fursa na huko ndio wanakutana na mambo mazuri na mabaya.

Serikali itengeneze Ajira kwa Vijana hapatakuwepo tena hofu ya Ushoga.

Serikali iimarishe kilimo asilia hapakuwepo tena hofu ya Ushoga.

Serikali ijikite kwenye tafiti za Chanjo zetu kama Urusi na North Korea hapatakuwepo tena hofu ya Ushoga

Serikali iwafunge Mafisadi kwani Somola na Gomola Chanzo Cha kuteketezwa Kwake ni Ufisadi uliokithiri so wenye Fedha na Madaraka wakafanya starehe zote na mwisho wakafanya Ibada za Makafara ya Ubasha yaani kuingiliana kinyume Cha maumbile Ili kumtukuza Shetani

Jumatatu yako iwe ya Baraka!
Kuna muda hata saa mbovu inasemaga kweli! Hongera sana bwashee
 
Back
Top Bottom