mwanamichakato JF-Expert Member Mar 20, 2015 1,183 1,083 Jun 27, 2016 #1 Uongozi uliotukuka si wa kukimbilia Uongozi uliotukuka si wa kuupata kwa fedha/mali Uongozi uliotukuka si wa kusheherekea Uongozi uliotukuka si wa kujinufaisha Uongozi uliotukuka si wa kujitajirisha Uongozi uliotukuka si wa kupendelea ndugu/jamaa/marafiki Uongozi uliotukuka si wa kung'ang'ania madaraka Uongozi uliotukuka si wa kutokosolewa/sahihishwa Uongozi uliotukuka si wa kununua madaraka
Uongozi uliotukuka si wa kukimbilia Uongozi uliotukuka si wa kuupata kwa fedha/mali Uongozi uliotukuka si wa kusheherekea Uongozi uliotukuka si wa kujinufaisha Uongozi uliotukuka si wa kujitajirisha Uongozi uliotukuka si wa kupendelea ndugu/jamaa/marafiki Uongozi uliotukuka si wa kung'ang'ania madaraka Uongozi uliotukuka si wa kutokosolewa/sahihishwa Uongozi uliotukuka si wa kununua madaraka
MR MAJANGA JF-Expert Member Oct 4, 2014 3,444 10,687 Jun 27, 2016 #2 Uongozi uliotukuka hakurupuki, unakubali kukosolewa hauna kisasi, haufanyi maamuzi ya kumkomoa mtu .............
Uongozi uliotukuka hakurupuki, unakubali kukosolewa hauna kisasi, haufanyi maamuzi ya kumkomoa mtu .............