Wamamba
Senior Member
- Jan 5, 2024
- 125
- 235
Salam
Pato la Taifa,kodi ya MTANZANIA
Nazungumzia fedha inayokusanywa na serikalini kwenye secta zote hapa nchini, namaanisha secta zote, madini,ardh,usafirishaji,mbuga,uchumi wa blue/bahari,hospital nk... zote zote
Kama ungekuwa na mamlaka nazo ungeanza na secta gani? Kuiweka sawa au kuiongezea chochote
Binafsi ningejikita kwenye secta ya Afya, ningejikita tena hapo hapo kwenye secta ya Afya mara ya pili na mara ya tatu
Afya imekuwa gharama sana, ukizingatia tungeweza hata kuitoa bure kulingana na pato nono la Afya, jaribu kufanya ziara binafsi mahospitalini kama una moyo mdogo utaweza ukafunga mwaka mzima kuliombea taifa, raia hapewi huduma mpaka awe na pesa mkononi au akifanyiwa atawekwa pending mpaka alipe pesa ndio atoke/atolewe, nasisitiza kwa pato letu la Taifa tunaweza kuirahisha huduma ya Afya kuwa nafuu au iwe bure kabsa
Huduma hairidhishi, ujuzi finyu, wataalamu wachache, dawa hazina ubora, vifaa duni,
Tungeongeza wataalamu, vifaa vyenye ubora, dawa zenye ubora na ukaguzi mahiri kila baada ya mda na mishahara ingekuwa bora kwa wauguzi, ma doctor na wataalamu wote secta hiyo
Kulikuwa hakuna haja ya kiongozi kutembelea gari nzito ya mil-200 na zaidi wakati kuna mzee/kijana/mtoto anagomewa kufanyiwa upasuaji sababu hana mil-5 kwa ajili ya huduma
Hii sio sawa
Pato la Taifa,kodi ya MTANZANIA
Nazungumzia fedha inayokusanywa na serikalini kwenye secta zote hapa nchini, namaanisha secta zote, madini,ardh,usafirishaji,mbuga,uchumi wa blue/bahari,hospital nk... zote zote
Kama ungekuwa na mamlaka nazo ungeanza na secta gani? Kuiweka sawa au kuiongezea chochote
Binafsi ningejikita kwenye secta ya Afya, ningejikita tena hapo hapo kwenye secta ya Afya mara ya pili na mara ya tatu
Afya imekuwa gharama sana, ukizingatia tungeweza hata kuitoa bure kulingana na pato nono la Afya, jaribu kufanya ziara binafsi mahospitalini kama una moyo mdogo utaweza ukafunga mwaka mzima kuliombea taifa, raia hapewi huduma mpaka awe na pesa mkononi au akifanyiwa atawekwa pending mpaka alipe pesa ndio atoke/atolewe, nasisitiza kwa pato letu la Taifa tunaweza kuirahisha huduma ya Afya kuwa nafuu au iwe bure kabsa
Huduma hairidhishi, ujuzi finyu, wataalamu wachache, dawa hazina ubora, vifaa duni,
Tungeongeza wataalamu, vifaa vyenye ubora, dawa zenye ubora na ukaguzi mahiri kila baada ya mda na mishahara ingekuwa bora kwa wauguzi, ma doctor na wataalamu wote secta hiyo
Kulikuwa hakuna haja ya kiongozi kutembelea gari nzito ya mil-200 na zaidi wakati kuna mzee/kijana/mtoto anagomewa kufanyiwa upasuaji sababu hana mil-5 kwa ajili ya huduma
Hii sio sawa