nalb JF-Expert Member Dec 8, 2015 437 608 Jan 24, 2016 #2 Aiesee umenichekesha kuliko kawaida, kweli JF ni zaidi ya burudani, stress zote znaisha aiesee
Y ydn JF-Expert Member Nov 24, 2015 2,092 1,410 Jan 25, 2016 #3 Duh! hii dunia inavituko sana. Mbavu sina
charty JF-Expert Member Oct 28, 2013 7,460 5,992 Jan 25, 2016 #6 hahahah dah imenikumbusha kukopiana kwenye mitihani ya kifaransa...enzi za chuo ilikua zaidi ya hapa....somo lilikua gumu hadi unaeza ukajikuta umekopi jina la mwenzio..
hahahah dah imenikumbusha kukopiana kwenye mitihani ya kifaransa...enzi za chuo ilikua zaidi ya hapa....somo lilikua gumu hadi unaeza ukajikuta umekopi jina la mwenzio..
FREE LUNCH JF-Expert Member Nov 21, 2014 495 334 Jan 25, 2016 #7 Hatari sana. Mwanzoni nilijua kutoa macho tu, dah! Kuchora na vidole kabisa... Hahahaaaah
DOGofGOD JF-Expert Member Feb 15, 2015 1,341 480 Jan 25, 2016 #9 Khaaah!.Hiyo Njemba Ni Kilaza By Nature.
mandinka Senior Member Apr 21, 2014 186 37 Jan 25, 2016 #10 Ndio maana sisi tulimaanisha" elimu elimu elimu. "