Kuna aina kadhaa za pombechemistry ya pombe ni ngano au mahindi mixer additives nyingine kama rangi n.k
sidhan kama pombe inamadhara ikitumiwa kwa kias
Duuuuuu,napita tuTafuta serengeti lite bariiiiiidiiiiii, au kilimanjaro ya moto. Na hata ka mshkaki kale ka jero. Butua utajua maini hayaharibiki. Ila utamu wake. Utaomba post ifutwe. Ukiingia bia ya tatu.
Pombe imenywewa na kila jamii since antiquities, na imekua ishara ya mijumuiko ya kila mtu kwa jamii yake, ndio maana kila mahali duniani ukifika utakua wanatumia mazao waliyonayo kutengeneza aina yao ya pombe, hata Yesu alitengeneza pombe kwenye karamu kwa sababu hizihizi!Kila kitu kwa kiasi pombe haina madhara kama unakunywa kwa kiasi.
Pombe ina faida kwa wenye akili tu ila kwa wapumbavu ni hasara kubwa sana.Je hii inaingia akilini?
Sijaona na sitoona faida ya pombe kabisa. Nimekaa na kutafakari kwa kina kwamba yani mimi ninunue pombe haswa hizi kali niharibu maini na figo ili nimtajirishe mmiliki na mtengenezaji wa hizo pombe?
Ndugu zangu haswa wakati huu ambao tunaelekea kwenye sikukuu za kumaliza mwisho wa mwaka, watu huona kunywa pombe ndio starehe haswa ya kufurahia sikukuu ndugu zangu tuache pombe. Pombe haina faida yoyote.
Embu one mwana wa valuvalu Jose Chameleone yuko hospitalini hivi sasa afya yake imezorota sababu ya pombe, je nikuulize wale waliokua wanakunywa nae wapo wapi?
Je wamiliki wa hayo makampuni za pombe wako wapi ,? Wao wako wanakula raha kwa pesa zenu mlizowachangia za kununua pombe zao, mbaya zaidi wao hawanywi pombe..
Ewe kijana, jiwekee malengo kua mwaka 2025 hakuna pesa yako itanunua pombe,hujachelewa, jiwekee malengo sasa na Mungu akusaidie.
Ukimaliza ya pombe pia washauri waache matumizi ya sukari kwani huleta kisukari na hatimaye mwili kuanza kuoza.Je hii inaingia akilini?
Sijaona na sitoona faida ya pombe kabisa. Nimekaa na kutafakari kwa kina kwamba yani mimi ninunue pombe haswa hizi kali niharibu maini na figo ili nimtajirishe mmiliki na mtengenezaji wa hizo pombe?
Ndugu zangu haswa wakati huu ambao tunaelekea kwenye sikukuu za kumaliza mwisho wa mwaka, watu huona kunywa pombe ndio starehe haswa ya kufurahia sikukuu ndugu zangu tuache pombe. Pombe haina faida yoyote.
Embu one mwana wa valuvalu Jose Chameleone yuko hospitalini hivi sasa afya yake imezorota sababu ya pombe, je nikuulize wale waliokua wanakunywa nae wapo wapi?
Je wamiliki wa hayo makampuni za pombe wako wapi ,? Wao wako wanakula raha kwa pesa zenu mlizowachangia za kununua pombe zao, mbaya zaidi wao hawanywi pombe..
Ewe kijana, jiwekee malengo kua mwaka 2025 hakuna pesa yako itanunua pombe,hujachelewa, jiwekee malengo sasa na Mungu akusaidie.
Prof j nae si aliumwa kidgo tumpoteze au nae aliweka bondi rohoHivi ugonjwa wa chameleon unaweza kuwa associated na zile story zilivuma kwamba jamaa anaangaika kumkacha shetani, nakumbuka kisa Cha kwanza ni kama alitaka kujiua ghorofani kama Sina kumbukumbu nzuri, na baada ya hapo akatoa ule wimbo unaitwa "natamani nikuone"
Then valuvalu, from there nyimbo ziko juu ila dizaini yeye ni kama akawa anasambaa, shortly seems as if the guy sold his soul to Satan, Sasa anastrive to bring it back! Najaribu kuwaza tu lakini kwa kuchunguza mtiririko wa matukio ,na ujumbe kwenye wimbo wa natamani nikuone,
Huo ni mtazamo wangu ulimwengu ule. Ila huku tunajua ni pombe, zimeharibu Figo, science pia Huwa na majibu kwenye mambo ya kiroho,
Any way tumwachie mwenyewe, ila tutaprove kwa mwingine wa level zake