Unamkumbuka???

serio

JF-Expert Member
Apr 15, 2011
7,341
4,738
U know ur cool if you remember this guy..
 

Attachments

  • 1400009246332.jpg
    1400009246332.jpg
    16.6 KB · Views: 620
Jamaa alibeba pipa la mafuta akamrushia Dame!hahaha boooolo hivi yupo hai huyu jamaa?
 
Huyu jamaa B.olo Yeung ni kiboko amecheza movie na Bruce Lee, Van Damme na Chuck Noris.
 
Hiki kijeba enzi za ujana wake kilikuwa fit kwenye filamu za ubabe mwili nondo, wapo jamaa wengi wa kukumbukwa kama Billy Blanks, Alex Cado na wengine wengi. Kipindi hicho kucheza filamu za kibabe lazima uwe fit mbavu nondo ngumi jiwe, siyo siku hizi staring mwili umelea kama mlemda hasa hizi drama za Kikorea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom