Unahisi kinahodha kilicho tudondoshea kivuko chetu kilikuwa kinachati na nani?

mbere

JF-Expert Member
Mar 5, 2015
6,967
6,465
Kinahodha: baby Leo nahodha kaniachia
kivuko nadrive mimi saa hii.

Shori: weeee unachatije huku
Unaendesha?

Kinahodha: mi jeeembe nimeanza
kufundishwa juzi tu si
Unanijuaga siku 2 tu nshajua
Kuvusha nyoomiiiiii

Shori: weee unaendesha huku unachati
Kuanzia leo nakuacha.

Kinahodha: baby
Kinahodha: ndo umeniacha
Kinahodha: bibyyyyy
Kinahodha: baibyyyyyy
Uuuuwiiii nimepitiliza
Uuuwiiiii tunakufa byee baby
 
Hili ni jukwaa la utani ila upuuzi uliouleta sio utani hata kidogo. Nonsense takataka kabisa
 
Najaribu kuwaza kama umepoteza ndugu kwenye ile ajali unaweza kweli kupost kitu kama hiki?!
Umesahau kuhusu ile takwimu iliyotolewa,inasema kati ya watu wanne mmoja ni mwezi mchanga.Muulize mtoa post Kwa wapo wangapi?akisema wapo wanne,basi sio kosa lake
 
Kinahodha: baby Leo nahodha kaniachia
kivuko nadrive mimi saa hii.

Shori: weeee unachatije huku
Unaendesha?

Kinahodha: mi jeeembe nimeanza
kufundishwa juzi tu si
Unanijuaga siku 2 tu nshajua
Kuvusha nyoomiiiiii

Shori: weee unaendesha huku unachati
Kuanzia leo nakuacha.

Kinahodha: baby
Kinahodha: ndo umeniacha
Kinahodha: bibyyyyy
Kinahodha: baibyyyyyy
Uuuuwiiii nimepitiliza
Uuuwiiiii tunakufa byee baby
 
Kinahodha: baby Leo nahodha kaniachia
kivuko nadrive mimi saa hii.

Shori: weeee unachatije huku
Unaendesha?

Kinahodha: mi jeeembe nimeanza
kufundishwa juzi tu si
Unanijuaga siku 2 tu nshajua
Kuvusha nyoomiiiiii

Shori: weee unaendesha huku unachati
Kuanzia leo nakuacha.

Kinahodha: baby
Kinahodha: ndo umeniacha
Kinahodha: bibyyyyy
Kinahodha: baibyyyyyy
Uuuuwiiii nimepitiliza
Uuuwiiiii tunakufa byee baby
alikuwa anachati na mama yako
 
Back
Top Bottom