Unafanyaje kama unaongea na mtu lakini yupo busy na mambo haya?

Braza Kede

JF-Expert Member
Nov 1, 2012
3,824
6,825
● Anapekuapekua simu yake

● Amejichomeka visikiliza masikio (earphone) anasikiza mambo mengine

● Nayeye anaongea na mtu mwingine

● Anakuongelesha wakati hujamaliza kuongea (wewe unaongea na yeye anaongea mudab huohuo)

● Anaangalia upande mwingine kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…