Unadhani ni kwanini Rais Samia alimbariki Tundu Lisu mara 3, kwanza Nairobi enzi za Shujaa pili Ubelgiji na tatu Kizimkazi? Je ndiye Mrithi wake 2030?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
97,869
171,689
Kama umesahau ngoja nikukumbushe

Akiwa Makamu wa Rais Dr Samia alikwenda Nairobi hospital kumtamkia Tundu Lisu Baraka za uponyaji. Dr Samia ni Kiongozi pekee wa ngazi ya Juu aliyekuwa madarakani kwenda kumsalimia Lisu Hospital

Pili Rais Samia akiwa Ubelgiji alikwenda kukutana na Tundu Lisu na kumtamkia Baraka za kurejea nyumbani na Ishara ikawa kumrejeshea Passport

Tatu, akiwa Kizimkazi Rais Samia alimtamkia Tundu Antipas Lisu Baraka za Kifalme kwa kumuita Simba wa Kizimkazi

Ikumbukwe Yesu Kristo anuani yake pale Golgotha iliandikwa " Yesu wa Nazareth Mfalme wa Wayahudi" na ifahamike huyu Yesu Kristo alitambulika kama Simba wa Mji wa Yuda, Mji wa Mfalme Daudi

Je, kwa nabii Hizi Tundu Antipas Lisu ndiye mrithi wa Rais Samia 2030?

Kirohoni zaidi hapa Hakunaga ndumba za Nzega vijijini 😂

Mlale Unono
 
Kama umesahau ngoja nikukumbushe

Akiwa Makamu wa Rais Dr Samia alikwenda Nairobi hospital kumtamkia Tundu Lisu Baraka za uponyaji. Dr Samia ni Kiongozi pekee wa ngazi ya Juu aliyekuwa madarakani kwenda kumsalimia Lisu Hospital

Pili Rais Samia akiwa Ubelgiji alikwenda kukutana na Tundu Lisu na kumtamkia Baraka za kurejea nyumbani na Ishara ikawa kumrejeshea Passport

Tatu, akiwa Kizimkazi Rais Samia alimtamkia Tundu Antipas Lisu Baraka za Kifalme kwa kumuita Simba wa Kizimkazi

Ikumbukwe Yesu Kristo anuani yake pale Golgotha iliandikwa " Yesu wa Nazareth Mfalme wa Wayahudi" na ifahamike huyu Yesu Kristo alitambulika kama Simba wa Mji wa Yuda, Mji wa Mfalme Daudi

Je, kwa nabii Hizi Tundu Antipas Lisu ndiye mrithi wa Rais Samia 2030?

Kirohoni zaidi hapa Hakunaga ndumba za Nzega vijijini 😂

Mlale Unono
Aiseee chawaaa dah
 
Kama umesahau ngoja nikukumbushe

Akiwa Makamu wa Rais Dr Samia alikwenda Nairobi hospital kumtamkia Tundu Lisu Baraka za uponyaji. Dr Samia ni Kiongozi pekee wa ngazi ya Juu aliyekuwa madarakani kwenda kumsalimia Lisu Hospital

Pili Rais Samia akiwa Ubelgiji alikwenda kukutana na Tundu Lisu na kumtamkia Baraka za kurejea nyumbani na Ishara ikawa kumrejeshea Passport

Tatu, akiwa Kizimkazi Rais Samia alimtamkia Tundu Antipas Lisu Baraka za Kifalme kwa kumuita Simba wa Kizimkazi

Ikumbukwe Yesu Kristo anuani yake pale Golgotha iliandikwa " Yesu wa Nazareth Mfalme wa Wayahudi" na ifahamike huyu Yesu Kristo alitambulika kama Simba wa Mji wa Yuda, Mji wa Mfalme Daudi

Je, kwa nabii Hizi Tundu Antipas Lisu ndiye mrithi wa Rais Samia 2030?

Kirohoni zaidi hapa Hakunaga ndumba za Nzega vijijini 😂

Mlale Unono
Just in case you didn’t know, watu wenye doctorate degree ya unafiki wako hivyo!
 
Yani huu Uchaguzi wa mwaka huu Lissu asipokuwa Rais basi kuna jambo gumu sana linakwenda kutokea ndani ya CCM
 
Back
Top Bottom