Unadhani ni kwanini maelezo ya Heche yamepuuzwa na wanachadema hususani mitandaoni?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
27,918
27,142
Ni kwasababu hayana mashiko wala maana yoyote kwa wanachadema na chama chao?

Hayawapi wanachadema uelekeo unaoeleweka wala matumaini ya chochote kuhusu mustakabali wa chama chao hususani baada ya uchaguzi mkuu wa october ambao ni wazi unaelekea kutafanyika kwa amani na wao wakiwa hawapo kwenye ballot paper?

Au wanachadema wamechoshwa na porojo, stori na uropokaji wa pata potea wa viongozi wao wa kitaifa, ambao wamekipotezea chama chao chadema uhai na uelekeo katika siasa za Tanzania? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
 
Ni kwasababu hayana mashiko wala maana yoyote kwa wanachadema na chama chao?

Hayawapi wanachadema uelekeo unaoeleweka wala matumaini ya chochote kuhusu mustakabali wa chama chao hususani baada ya uchaguzi mkuu wa october ambao ni wazi unaelekea kutafanyika kwa amani na wao wakiwa hawapo kwenye ballot paper?

Au wanachadema wamechoshwa na porojo, stori na uropokaji wa pata potea wa viongozi wao wa kitaifa, ambao wamekipotezea chama chao chadema uhai na uelekeo katika siasa za Tanzania? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Thread 'Video: Tumefikia Huku Kwenye Siasa Za Nchi!? WanaCCM Wanaimba "Wapinzani Wakifa Hatuwezi Kulia Tutawatupa Mtoni Waliwe Na Mamba"' Video: Tumefikia Huku Kwenye Siasa Za Nchi!? WanaCCM Wanaimba "Wapinzani Wakifa Hatuwezi Kulia Tutawatupa Mtoni Waliwe Na Mamba"
 
Ni kwasababu hayana mashiko wala maana yoyote kwa wanachadema na chama chao?

Hayawapi wanachadema uelekeo unaoeleweka wala matumaini ya chochote kuhusu mustakabali wa chama chao hususani baada ya uchaguzi mkuu wa october ambao ni wazi unaelekea kutafanyika kwa amani na wao wakiwa hawapo kwenye ballot paper?

Au wanachadema wamechoshwa na porojo, stori na uropokaji wa pata potea wa viongozi wao wa kitaifa, ambao wamekipotezea chama chao chadema uhai na uelekeo katika siasa za Tanzania? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Amani na haki
 
Ni kwasababu hayana mashiko wala maana yoyote kwa wanachadema na chama chao?

Hayawapi wanachadema uelekeo unaoeleweka wala matumaini ya chochote kuhusu mustakabali wa chama chao hususani baada ya uchaguzi mkuu wa october ambao ni wazi unaelekea kutafanyika kwa amani na wao wakiwa hawapo kwenye ballot paper?

Au wanachadema wamechoshwa na porojo, stori na uropokaji wa pata potea wa viongozi wao wa kitaifa, ambao wamekipotezea chama chao chadema uhai na uelekeo katika siasa za Tanzania? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Mkuu naona unamaumivu makubwa kwa ndani ila ukweli ndo huo.
 
Hayajapuuzwa Bali yameenea Dunia nzima na Dunia imemuonya anayeminya uhuru wa vyama vya siasa.Nilikuwa nasikiliza BBC mida ya saa saba watangazaji walihitimisha kuwa suala Hilo litatua Kwa trump ili huyu anayechezea uhuru wa watanzania apigwe marufuku kwenda huko maana anapenda sana kwenda huko
 
Ni kwasababu hayana mashiko wala maana yoyote kwa wanachadema na chama chao?

Hayawapi wanachadema uelekeo unaoeleweka wala matumaini ya chochote kuhusu mustakabali wa chama chao hususani baada ya uchaguzi mkuu wa october ambao ni wazi unaelekea kutafanyika kwa amani na wao wakiwa hawapo kwenye ballot paper?

Au wanachadema wamechoshwa na porojo, stori na uropokaji wa pata potea wa viongozi wao wa kitaifa, ambao wamekipotezea chama chao chadema uhai na uelekeo katika siasa za Tanzania? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Takataka
 
Ni kwasababu hayana mashiko wala maana yoyote kwa wanachadema na chama chao?

Hayawapi wanachadema uelekeo unaoeleweka wala matumaini ya chochote kuhusu mustakabali wa chama chao hususani baada ya uchaguzi mkuu wa october ambao ni wazi unaelekea kutafanyika kwa amani na wao wakiwa hawapo kwenye ballot paper?

Au wanachadema wamechoshwa na porojo, stori na uropokaji wa pata potea wa viongozi wao wa kitaifa, ambao wamekipotezea chama chao chadema uhai na uelekeo katika siasa za Tanzania? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Maelezo yapi unayolenga? Fafanua
 
Ni kwasababu hayana mashiko wala maana yoyote kwa wanachadema na chama chao?

Hayawapi wanachadema uelekeo unaoeleweka wala matumaini ya chochote kuhusu mustakabali wa chama chao hususani baada ya uchaguzi mkuu wa october ambao ni wazi unaelekea kutafanyika kwa amani na wao wakiwa hawapo kwenye ballot paper?

Au wanachadema wamechoshwa na porojo, stori na uropokaji wa pata potea wa viongozi wao wa kitaifa, ambao wamekipotezea chama chao chadema uhai na uelekeo katika siasa za Tanzania? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Labda wewe ndo umeyapuuza, heche kaeleza vizuri sana, no reform no election
 
Ni kwasababu hayana mashiko wala maana yoyote kwa wanachadema na chama chao?

Hayawapi wanachadema uelekeo unaoeleweka wala matumaini ya chochote kuhusu mustakabali wa chama chao hususani baada ya uchaguzi mkuu wa october ambao ni wazi unaelekea kutafanyika kwa amani na wao wakiwa hawapo kwenye ballot paper?

Au wanachadema wamechoshwa na porojo, stori na uropokaji wa pata potea wa viongozi wao wa kitaifa, ambao wamekipotezea chama chao chadema uhai na uelekeo katika siasa za Tanzania? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania

Wazee wa fujo hao. Mbambamba nyiiiiiingi. Waambie wakuonyeshe action plan uone ... Wanaanza kutukana.

Ukiwaambia wakaonyeshe actual actions ndo kabisa wanasema hawahusiki.....
 
Back
Top Bottom