Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,409
- 904
UMEME WA JUA KUONGEZA UNAFUU SHINYANGA
Mradi wa umeme wa jua unatekelezwa katika Wilaya ya Kishapu Mkoani wa Shinyanga unaendelea ambapo kwa awamu ya kwanza mradi unatarajiwa kuzalisha Megawati 50 na baadae Megawati 100 kwa awamu ya pili zitakazoongezeka na kufanya jumla ya Megawati 150.
Utekelezaji wa mradi huu kwa awamu ya kwanza umefikia asilimia 57 na unatarajiwa kukamilika kufikia mwishoni mwa Mwaka 2025.
Mradi kwa ujumla unatekelezwa kwa gharama ya shilingi bilioni 275.
Mradi wa umeme wa jua unatekelezwa katika Wilaya ya Kishapu Mkoani wa Shinyanga unaendelea ambapo kwa awamu ya kwanza mradi unatarajiwa kuzalisha Megawati 50 na baadae Megawati 100 kwa awamu ya pili zitakazoongezeka na kufanya jumla ya Megawati 150.
Utekelezaji wa mradi huu kwa awamu ya kwanza umefikia asilimia 57 na unatarajiwa kukamilika kufikia mwishoni mwa Mwaka 2025.
Mradi kwa ujumla unatekelezwa kwa gharama ya shilingi bilioni 275.