Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,722
- 4,714
Kwa uelewa ulionao sasa, unafikiri ungesoma shule tofauti ingekusaidia kwenye maisha, ajira au biashara?
Je, watoto wako watasoma shule kama uliyosoma wewe au utawapeleka kwingine?
Binafsi nimesoma shule ya msingi ya serikali, mkoani Tabora. Nakumbuka nilikua na eneo langu la bustani la kumwagilia na kusafisha kila asubuhi, walimu walikua wakarimu sana na nilifurahia shule.
Vifaa vya darasani vilikua duni, bado nina kovu kubwa pajani la kukatwa na viti vya chuma vilivyokua vimechakaa.
Sekondari nimesoma shule ya private, tulikua tunachagua vyakula na kutengeneza meal plans kila term.
Watoto wangu wamesoma EM, kwa sababu baba yao alitaka wasome huko.
CC:
Nomadix
makutupora
realMamy
Mallerina
Je, watoto wako watasoma shule kama uliyosoma wewe au utawapeleka kwingine?
Binafsi nimesoma shule ya msingi ya serikali, mkoani Tabora. Nakumbuka nilikua na eneo langu la bustani la kumwagilia na kusafisha kila asubuhi, walimu walikua wakarimu sana na nilifurahia shule.
Vifaa vya darasani vilikua duni, bado nina kovu kubwa pajani la kukatwa na viti vya chuma vilivyokua vimechakaa.
Sekondari nimesoma shule ya private, tulikua tunachagua vyakula na kutengeneza meal plans kila term.
Watoto wangu wamesoma EM, kwa sababu baba yao alitaka wasome huko.
CC:
Nomadix
makutupora
realMamy
Mallerina