Ulinzi zanzibar

Chiclette

Senior Member
Feb 17, 2024
131
219
Jamani Kuna anaewajua Chaka force security? Maana Kuna Uzi nimeupitia naona watu wanalalamika kuwa kazi ya ulinzi wengine hawalipwi wengine wanapewa laki Moja Yani balaa tu.
Mi naomba kwa anaewajua Hawa Chaka force security je ni salama kufanyia kazi? Na pia kama unajua wanalipa bei gani naomba unijuze, Yani malipo kwa mlinzi wa kawaida tu.
Pia kama Kuna changamoto zozote labda watu hawalipwi pia naomba kujua maana Kuna mtu ameniunganisha nikaamua kufanya research nikaona kama Kuna kampuni nzuri na za hovyo, sasa Hawa nao wapo miongoni mwa kampuni nzuri?

Karibuni
 
Jamani Kuna anaewajua Chaka force security? Maana Kuna Uzi nimeupitia naona watu wanalalamika kuwa kazi ya ulinzi wengine hawalipwi wengine wanapewa laki Moja Yani balaa tu.
Mi naomba kwa anaewajua Hawa Chaka force security je ni salama kufanyia kazi? Na pia kama unajua wanalipa bei gani naomba unijuze, Yani malipo kwa mlinzi wa kawaida tu.
Pia kama Kuna changamoto zozote labda watu hawalipwi pia naomba kujua maana Kuna mtu ameniunganisha nikaamua kufanya research nikaona kama Kuna kampuni nzuri na za hovyo, sasa Hawa nao wapo miongoni mwa kampuni nzuri?

Karibuni
Ngoja wake wakupe muongozo, Kila la kheri Mkuu
 
Kampuni nyingi Zanzibar za Ulinzi zinawafanyia janjajanja walinzi wao kwenye malipo naliongelea hili kwa kua nina ushuhuda nalo

Kwaio uyo alokuunganisha mwambie akupe taarifa vzr ya iyo kampuni
 
Back
Top Bottom