Ukweli unauma, Yanga is unstoppable, ushauri wangu Simba na Azam gombanieni hiyo nafasi ya pili

Mwishokambi

JF-Expert Member
Nov 23, 2020
438
1,589
Kwa kweli kama alivyosema mwenzangu humu jf, Leo ndio ile cku ya kuvunja unbeaten record ya yanga, kwa kweli hata cjui kwann kagera sugar walimrudisha Mexime, timu inacheza weeee lkn haina mipango yoyote ya kutafuta goli, ilikuwa kama inatuzuga sisi tu, hongereni sana yanga, ckubaliani na hoja ya fatigue kwa sababu timu zimesajili wachezaji 30, kama kuna waliocheza kule Tunisia basi wasiocheza wakipge na Kagera, ndio nilivoona Leo, yanga ya Leo iliyocheza na kagera kipindi cha kwanza ikiwa na akina mwamnyeto, Ibrahim Bacca, Cjui Clement, cjui lomalisa, nimekifananisha na kikosi cha kwanza cha Simba cha sasa hivi, kile kilichoingia kipindi cha 2 ndio yanga yenyewe ile, lazima tuseme ukweli wenzetu wana wachezaji wa kuwapa matokeo, sio sisi cjui kibu, cjui nyoni, cjui mwanuke, cjui okwa, ujinga mtupu.

Kama Kagera kafa kwa yanga ya leo basi azam na Simba pambanieni nafasi ya 2 tu, save the date.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
 
Wahuni wa TieFueFu inazikumbusha timu za Simba na Yanga zinazoshiriki mashindano ya "CUF" hakutakuwepo na kuhairishwa kwa mechi zao za ligi iwapo mechi inayofuata itakuwa imepishana kwa siku 2, siku ya 3 mechi ya ligi lazima ichezwe hata kama timu imecheza mechi nje ya Bongo.

Ndio maana timu zimeruhusiwa kusajili wachezaji 30, ukiona shida nenda nje ya nchi na wachezaji 18, wachezaji 12 wabakize Bongo .
 
Kwa kweli kama alivyosema mwenzangu humu jf, Leo ndio ile cku ya kuvunja unbeaten record ya yanga, kwa kweli hata cjui kwann kagera sugar walimrudisha Mexime, timu inacheza weeee lkn haina mipango yoyote ya kutafuta goli, ilikuwa kama inatuzuga sisi tu, hongereni sana yanga, ckubaliani na hoja ya fatigue kwa sababu timu zimesajili wachezaji 30, kama kuna waliocheza kule Tunisia basi wasiocheza wakipge na Kagera, ndio nilivoona Leo, yanga ya Leo iliyocheza na kagera kipindi cha kwanza ikiwa na akina mwamnyeto, Ibrahim Bacca, Cjui Clement, cjui lomalisa, nimekifananisha na kikosi cha kwanza cha Simba cha sasa hivi, kile kilichoingia kipindi cha 2 ndio yanga yenyewe ile, lazima tuseme ukweli wenzetu wana wachezaji wa kuwapa matokeo, sio sisi cjui kibu, cjui nyoni, cjui mwanuke, cjui okwa, ujinga mtupu.

Kama Kagera kafa kwa yanga ya leo basi azam na Simba pambanieni nafasi ya 2 tu, save the date.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Haki ya nani kupitia huu uzi wako, nakutoa rasmi kwenue lile kundi la mashabiki mbumbumbu.
 
Back
Top Bottom