sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,256
Hali halisi ndivyo ilivyo, wala sijui ni nini kinachoendelea huko ulaya na Marekani lakini watanzania wengi wanakwepana, hata kama wanaishi mji moja ni nadra sana ku mingle, kutembeleana, kujuliana hali na kutengeneza long term relationships, kuwa pamoja labda itokee mtz kafariki ndio watachanga arudi azikwe.
Watanzania wengi hujikuta wapo karibu zaidi ya wakenya wawapo huko ughaibuni, ni fact kabisa hata kwa wanafunzi wanaoenda masomoni huko ulaya ukiwauliza watakwambia haya kuanzia kushare rooms, kuishi pamoja, watu wa karibu, n.k. huwa wanatafuta kampani za kikenya,
Na cha ajabu ni kwamba lile bifu letu vuguvugu la Tz vs Kenya nahisi wenzetu huwa wanalichukulia kama utani tu sio serious sana kama watz wanavyowashambulia wakenya kwenye jukwaaa la wakenya humuhumu jamiiforums, ingekuwa vinginevyo basi watanzania wangepata shida sana huko Ughaibuni, Watz kwa watz wanakwepana, nae mkenya angekuwa anawakataa watz huko ughaibuni pangekalika ?
Comments kutoka kwa wadau :
Watanzania tuna umoja ndani ya nchi ila nje tunakwepana kila mtu kimpango wake, Wakenya wana ukabila ndani ya nchi yao lakini wakiwa nje ni kabila moja.
Wakenya are proud of their nation nje ya mipaka, Watanzania wanauponda sana utanzania na wanaona kwenda nje ndo njia ya kujivua utanzania
Watanzania wengi hujikuta wapo karibu zaidi ya wakenya wawapo huko ughaibuni, ni fact kabisa hata kwa wanafunzi wanaoenda masomoni huko ulaya ukiwauliza watakwambia haya kuanzia kushare rooms, kuishi pamoja, watu wa karibu, n.k. huwa wanatafuta kampani za kikenya,
Na cha ajabu ni kwamba lile bifu letu vuguvugu la Tz vs Kenya nahisi wenzetu huwa wanalichukulia kama utani tu sio serious sana kama watz wanavyowashambulia wakenya kwenye jukwaaa la wakenya humuhumu jamiiforums, ingekuwa vinginevyo basi watanzania wangepata shida sana huko Ughaibuni, Watz kwa watz wanakwepana, nae mkenya angekuwa anawakataa watz huko ughaibuni pangekalika ?
Comments kutoka kwa wadau :
Watanzania tuna umoja ndani ya nchi ila nje tunakwepana kila mtu kimpango wake, Wakenya wana ukabila ndani ya nchi yao lakini wakiwa nje ni kabila moja.
Wakenya are proud of their nation nje ya mipaka, Watanzania wanauponda sana utanzania na wanaona kwenda nje ndo njia ya kujivua utanzania