Ukweli kuhusu General tyres/YANA Tyres

Kiluuj

JF-Expert Member
Aug 8, 2015
692
278
Ningependa kumkosoa FRANCIS DA DON aliposema eti General Tyres Tanzania ilihamishiwa Kenya na kuitwa Yana Tyres.

Ukweli ni kuwa Yana Tyres ni kampuni ya Sameer Africa ambayo ina kampuni nyingi AFRICA nzima. Sameer Africa ni moja ya kampuni za mradi wa AGA KHAN FOUNDATION ambao unamiliki vituo vya redio na tv kama DAILY NATION, MWANASPOTI NK. Pia wanamiliki mahoteli ya kifahari, mahospitali, benki na mashule.

Kwa hivyo FRANCIS DA DON kusema kwamba G.T.T ilihamishwa Kenya ni urongo kwani Yana Tyres ilikuwa inaitwa Sameer Africa Kenya kabla ya kubadilishwa.

FOR THE DOUBTERS, GOOGLE SAMEER AFRICA AMA AGA KHAN FOUNDATION.
 
walihujumu GTT ili kuliteka soko .
hilo la kuhamishiwa ni lugha tu.
alakini point ni nadhamira ya hao jamaa ni kuhodhi soko la matairi hapa nchini.
 
Ningependa kumkosoa FRANCIS DA DON aliposema eti General Tyres Tanzania ilihamishiwa Kenya na kuitwa Yana Tyres.

Ukweli ni kuwa Yana Tyres ni kampuni ya Sameer Africa ambayo ina kampuni nyingi AFRICA nzima. Sameer Africa ni moja ya kampuni za mradi wa AGA KHAN FOUNDATION ambao unamiliki vituo vya redio na tv kama DAILY NATION, MWANASPOTI NK. Pia wanamiliki mahoteli ya kifahari, mahospitali, benki na mashule.

Kwa hivyo FRANCIS DA DON kusema kwamba G.T.T ilihamishwa Kenya ni urongo kwani Yana Tyres ilikuwa inaitwa Sameer Africa Kenya kabla ya kubadilishwa.

FOR THE DOUBTERS, GOOGLE SAMEER AFRICA AMA AGA KHAN FOUNDATION.
Anamaanisha ile fomular ya kutengenezea yale magurudumu mzee ndio iliyoibwa nakutumika na hiyo YANA!
 
walihujumu GTT ili kuliteka soko .
hilo la kuhamishiwa ni lugha tu.
alakini point ni nadhamira ya hao jamaa ni kuhodhi soko la matairi hapa nchini.
Asante. Amuulize ngongo kwa maelezo zaidi. Besides 'sikusema', niliuliza na nikajibiwa.
 
Teknolojia inaweza kuhamishwa kwa kuwaajili waliokuwa wanafanya kazi general tyres.
Sio lazima kiwanda kizima kihamishwe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom