Los santos
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 1,059
- 2,291
Huyo baba ameshiriki engagement party ya huyo bint na picha alikuwa anachukua Kama kumbukumbu ya tukio, lkn inaonekana walikuwa na mahusiano au walianza baada ya hiyo shughuli, hiyo picha wako pamoja wamebebana Ni siku tofauti
Kwa ufupi wanaokataa ndoa siwezi sema wako sahihi au wanakosea ila ukweli ni kwamba watu kwenye mahusiano wanachapiwa sana tena kwa Kasi ya 6G kama iliyozinduliwa Japan, ili kuepuka maumivu haya sasa Ukiwa na mpenzi wako usiachie moyo wako wte laa sivyo utajikuta unakufa kwa pressure.
Kama huamini Tenga laki moja mrushie mke au mpenzi wa Mtu kwa installment sema tu labda akalipie kikoba alafu baada ya muda wew utachokiona utaleta mrejesho atavyoanza kukufanyia ili ule kimasihara.
Kwa ufupi wanaokataa ndoa siwezi sema wako sahihi au wanakosea ila ukweli ni kwamba watu kwenye mahusiano wanachapiwa sana tena kwa Kasi ya 6G kama iliyozinduliwa Japan, ili kuepuka maumivu haya sasa Ukiwa na mpenzi wako usiachie moyo wako wte laa sivyo utajikuta unakufa kwa pressure.
Kama huamini Tenga laki moja mrushie mke au mpenzi wa Mtu kwa installment sema tu labda akalipie kikoba alafu baada ya muda wew utachokiona utaleta mrejesho atavyoanza kukufanyia ili ule kimasihara.