Ukijipanga na kujizatiti vizuri kupata ushindi wa kishindo katika sanduku la kura kwenye uchaguzi, hata 100% unaweza kupata..

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
14,822
17,119
Mfano mzuri ni kwa Paul Kagame wa Rwanda..

Hii ni awamu yake ya nne anashinda kwa kishindo cha kura za Wanyarwanda. katika chaguzi za awamu tatu mfulilizo zilizopita, Paul Kagame amekua akipata ushindi wa kishindo wa zaidi ya 90%.

safari hihi sasa,
katika uchaguzi unaodaiwa kua wa huru, haki na wazi sana ulofanyika Rwanda wiki hii, huku kukiwa na amani na utulivu wa viwango vya juu sana, Rais Kagame ametamgazwa mshindi wa kiti cha Urais wa Rwanda kwa kupata zaidi ya 99% ya kura zote..

katika zaidi ya Wanyarwanda zaidi ya milioni 9 waliojiandikisha kupiga kura, 98% walijitokeza kupiga kura katika maeneo mbalimbali.
wananchi wa Rwanda wameonyesha mfano bora na mzuri wa kuigwa barani Africa.

ni nini siri ya mafanikio ya ushindi huu mnono kwa kiongizi huyu muandamizi katika Jumuiya ya Africa Mashariki?
 
Mfano mzuri ni kwa Paul Kagame wa Rwanda..

Hii ni awamu yake ya nne anashinda kwa kishindo cha kura za Wanyarwanda. katika chaguzi za awamu tatu mfulilizo zilizopita, Paul Kagame amekua akipata ushindi wa kishindo wa zaidi ya 90%.

safari hihi sasa,
katika uchaguzi unaodaiwa kua wa huru, haki na wazi sana ulofanyika Rwanda wiki hii, huku kukiwa na amani na utulivu wa viwango vya juu sana, Rais Kagame ametamgazwa mshindi wa kiti cha Urais wa Rwanda kwa kupata zaidi ya 99% ya kura zote..

katika zaidi ya Wanyarwanda zaidi ya milioni 9 waliojiandikisha kupiga kura, 98% walijitokeza kupiga kura katika maeneo mbalimbali.
wananchi wa Rwanda wameonyesha mfano bora na mzuri wa kuigwa barani Africa.

ni nini siri ya mafanikio ya ushindi huu mnono kwa kiongizi huyu muandamizi katika Jumuiya ya Africa Mashariki?
Kagame ana mwisho mbaya sana aombe aishi umuri sawa na Kobe
 
Alikuwa anashindana na makada wake, hakuna upinzani rwanda, dada Victoire alijaribu kuwa mpinzani,kilichomkuta wote tunakijua,angalau Tanzania kuna upinzani ila hakuna usawa,polisi na tume butu ya uchaguzi ndiyo kizingiti pekee kilichobakia ili tuingie rasmi kwenye list ya nchi zenye demokrasia kamili.
 
amewekeza kwenye kuyajua mahitaji ya wananchi wake: ulinzi wa mipaka, sera nzuri za uchumi, uchungu na ulinzi wa raslimali za nchi, vipaumbele vya elimu na biashara humo nchini utavipenda, amejenga misingi ya watu kuupenda, kuujali, kuuimba na kujivunia unyarwanda wao na amekomesha ubaguzi wa ututsu vs uhutu. udhaifu wake na mtazamo hasi kwa baadhi ya nyanja wanamsamehe kwa vile binadamu hatuna ukamilifu.

Pk akinusa harufu ya 'ibiturire'/rushwa/ubadhirifu wa mali ya umma, hasuburi kuunda tume, kujadili, kuhamisha idara sijui wizara na usanii kama huo. hili tu linatosha wananchi kumpa zawadi ya 'kura' ili apate 'kula'
 
UWT mnaenda lini kumpongeza Kagame?
BAWACHA mjiandae vizuri sasa, tumieni fursa ya mwenyekiti taifa atakapojiuzulu mwaka ujao sawa?🐒

halafu mwenyekiti wenu BAWACHA si bado ni yule kibezi miongoni mwa wabunge wa COVID-19? au mlishabadili?🐒

Kagame anakubalika mno kwa Wanyarwanda aise,

ushindi wa 99.15,% ya kura si mchezo 🐒
 
BAWACHA mjiandae vizuri sasa, tumieni fursa ya mwenyekiti taifa atakapojiuzulu mwaka ujao sawa?🐒

halafu mwenyekiti si bado ni yule miongoni mwa wabunge wa COVID-19? au mlishabadili?🐒

Kagame anakubalika mno kwa Wanyarwanda aise,

ushindi wa 99.15,% ya kura si mchezo 🐒
Mbona alimuogopa Diana? hakubaliki na hapakuwa na uchaguzi wowote zaidi ya usanii
 
Mfano mzuri ni kwa Paul Kagame wa Rwanda..

Hii ni awamu yake ya nne anashinda kwa kishindo cha kura za Wanyarwanda. katika chaguzi za awamu tatu mfulilizo zilizopita, Paul Kagame amekua akipata ushindi wa kishindo wa zaidi ya 90%.

safari hihi sasa,
katika uchaguzi unaodaiwa kua wa huru, haki na wazi sana ulofanyika Rwanda wiki hii, huku kukiwa na amani na utulivu wa viwango vya juu sana, Rais Kagame ametamgazwa mshindi wa kiti cha Urais wa Rwanda kwa kupata zaidi ya 99% ya kura zote..

katika zaidi ya Wanyarwanda zaidi ya milioni 9 waliojiandikisha kupiga kura, 98% walijitokeza kupiga kura katika maeneo mbalimbali.
wananchi wa Rwanda wameonyesha mfano bora na mzuri wa kuigwa barani Africa.

ni nini siri ya mafanikio ya ushindi huu mnono kwa kiongizi huyu muandamizi katika Jumuiya ya Africa Mashariki?
Ni sanduku la kula.
 
Mbona alimuogopa Diana? hakubaliki na hapakuwa na uchaguzi wowote zaidi ya usanii
aliwasilisha stakabadhi, nyaraka na taarafa ghushi za wadhamini wake, kama sifa na kigezo cha kikatiba kwa mgombea urasi 🐒

alorodhesha hadi watu waliyokufa na ambao hawapo hata kwenye daftari la kudumu la wapiga kura Rwanda 🐒

naskia wengine walikua ni watanzania, sasa sijui kama wana chadema watakosekana au la 🐒
 
aliwasilisha stakabadhi, nyaraka na taarafa ghushi za wadhamini wake, kama sifa na kigezo cha kikatiba kwa mgombea urasi 🐒

alorodhesha hadi watu waliyokufa na ambao hawapo hata kwenye daftari la kudumu la wapiga kura Rwanda 🐒

naskia wengine walikua ni watanzania, sasa sijui kama wana chadema watakosekana au la 🐒
Nakushukuru dada angu kwa kujibu, majina yalibandikwa wakatoa orodha ya marehemu na watanzania?
 
Back
Top Bottom