Ukiambiwa, baby tuzime taa, jiulize Mara mbili.

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
75,084
156,841
Mapenzi yana raha mkionana, milango yote ya fahamu inakuwa kazini.
Macho yanafaidi, masikio, ulimi, ngozi na pua pia, ndio maana ni lazima mjiandae na kujiweka safi miili na chumba chenu kabla hamjaanza show.
Sasa Kuna mizigo mingine utaisikia inakwambia, "Baby tuzime taa" unataka kufanya nini tena mrembo, au unataka kuruka na ungo?
Hebu tulia....... Usikubali harakaharaka kuzima taa, anakuficha nini?
 
Mmmmmh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha hahaa daaah kama vile ameanika kunde kwenye mapaja yake ....kama mapaja yapo hivyo ...je hali itakuwa vipi mgongoni kwenye makalio na pachu pachu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸƒπŸΎπŸƒπŸΎπŸƒπŸΎngoja nirud muda bado ,mchana wote huh
πŸƒπŸΎπŸƒπŸΎπŸƒπŸΎπŸ”™πŸ”œ
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…