Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 75,084
- 156,841
MmmmmhMapenzi yana raha mkionana, milango yote ya fahamu inakuwa kazini.
Macho yanafaidi, masikio, ulimi, ngozi na pua pia, ndio maana ni lazima mjiandae na kujiweka safi miili na chumba chenu kabla hamjaanza show.
Sasa Kuna mizigo mingine utaisikia inakwambia, "Baby tuzime taa" unataka kufanya nini tena mrembo, au unataka kuruka na ungo?
Hebu tulia....... Usikubali harakaharaka kuzima taa, anakuficha nini?
Mkuu jitahidi kupiga show mchana
Aisee nimefahamishwa hapa wanawake wenye aibu wanakuwa watamu sanaBinafsi sifichi chochote niko vizuri kabisaaa
Ila nina aibu za kiwango ambacho siwezi kueleza
Hahaha hahaa daaah kama vile ameanika kunde kwenye mapaja yake ....kama mapaja yapo hivyo ...je hali itakuwa vipi mgongoni kwenye makalio na pachu pachuMapenzi yana raha mkionana, milango yote ya fahamu inakuwa kazini.
Macho yanafaidi, masikio, ulimi, ngozi na pua pia, ndio maana ni lazima mjiandae na kujiweka safi miili na chumba chenu kabla hamjaanza show.
Sasa Kuna mizigo mingine utaisikia inakwambia, "Baby tuzime taa" unataka kufanya nini tena mrembo, au unataka kuruka na ungo?
Hebu tulia....... Usikubali harakaharaka kuzima taa, anakuficha nini?
Hahha ndiye yeye mkuu ...ila ni new version ..chui ambao wanaweza kukaa kwenye kiti kama mtuHuyo si chui au macho yangu mabovu!
Hahaha hahaa daaah kama vile ameanika kunde kwenye mapaja yake ....kama mapaja yapo hivyo ...je hali itakuwa vipi mgongoni kwenye makalio na pachu pachu
Sent using Jamii Forums mobile app
nakuhitajiBinafsi sifichi chochote niko vizuri kabisaaa
Ila nina aibu za kiwango ambacho siwezi kueleza
Eeeeeh aise!Hahha ndiye yeye mkuu ...ila ni new version ..chui ambao wanaweza kukaa kwenye kiti kama mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha ya demu wako ...imefikaje humu !!!ngoja nirud muda bado ,mchana wote huh