Ujio wa wachina laki 3 Tanganyika uwe na tija kwa Taifa na si kwa ajili ya watu wachache na jamaa zao

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
290,233
746,176
Ni ugeni mkubwa mwaka huu.. Maandalizi ni mengi na ni makubwa lakini yanayofanywa kwa siri kubwa sana hasa na wachina wenyewe. Madalali wa kichina tayari wako nchini wakizisaka fursa na kuzishikilia, mashushushu wa kichina pia ni wengi mno

Mahoteli yananunuliwa kwa kasi ya ajabu. Migodi hivyohivyo, Ardhi na kila eneo lenye hela vyote sasa hivi wachina wanajibebea kwa bei sawa na bure. Hawa laki 3 wanaokuja ni ma tycoon tupu.. Watakaobaki ama watakaorudi kuwekeza hawawezi kupungua elfu 5 mpaka 10

Ni wakati wa kulisimamia taifa kizalendo zaidi na kuepuka vizawadi vya tv na simu. Waliopo Tanganyika tayari wanahodhi ma ardhi makubwa ya hekari nyingi sana kwa mkataba wa miaka 99.. Hivi ni vizazi vitatu.. Wanaokuja nao watapita humohumo

Je, baada ya hiyo miaka 99 tutakuwa tumebakiwa, tumebakishiwa nini? Mpango huu wa kuwaleta wachina wengi kiasi hiki kwa ajili ya fursa za uwekezaji na biashara hauna afya sana kwa taifa kama tusipokuwa makini sana

Hawa wanaletana na kuja kufanya makazi ya kudumu huku wakipora kila kitu chetu kizuri.. Baada ya vizazi vitatu tutakuwa na taifa gani?
 
Ni ugeni mkubwa mwaka huu.. Maandalizi ni mengi na ni makubwa lakini yanayofanywa kwa siri kubwa sana hasa na wachina wenyewe
Madalali wa kichina tayari wako nchini wakizisaka fursa na kuzishikilia, mashushushu wa kichina pia ni wengi mno
Mahoteli yananunuliwa kwa kasi ya ajabu
Migodi hivyohivyo
Ardhi na kila eneo lenye hela vyote sasa hivi wachina wanajibebea kwa bei sawa na bure
Hawa laki 3 wanaokuja ni ma tycoon tupu.. Watakaobaki ama watakaorudi kuwekeza hawawezi kupungua elfu 5 mpaka 10
Ni wakati wa kulisimamia taifa kizalendo zaidi na kuepuka vizawadi vya tv na simu

Waliopo Tanganyika tayari wanahodhi ma ardhi makubwa ya hekari nyingi sana kwa mkataba wa miaka 99.. Hivi ni vizazi vitatu.. Wanaokuja nao watapita humohumo
Je baada ya hiyo miaka 99 tutakuwa tumebakiwa, tumebakishiwa nini?
Mpango huu wa kuwaleta wachina wengi kiasi hiki kwa ajili ya fursa za uwekezaji na biashara hauna afya sana kwa taifa kama tusipokuwa makini sana
Hawa wanaletana na kuja kufanya makazi ya kudumu huku wakipora kila kitu chetu kizuri.. Baada ya vizazi vitatu tutakuwa na taifa gani?
Nitatejea
Mbwa kwa jumla nitapata wapi?? kuna mshkaji kaniuliza tu
 
Ni ugeni mkubwa mwaka huu.. Maandalizi ni mengi na ni makubwa lakini yanayofanywa kwa siri kubwa sana hasa na wachina wenyewe
Madalali wa kichina tayari wako nchini wakizisaka fursa na kuzishikilia, mashushushu wa kichina pia ni wengi mno
Mahoteli yananunuliwa kwa kasi ya ajabu
Migodi hivyohivyo
Ardhi na kila eneo lenye hela vyote sasa hivi wachina wanajibebea kwa bei sawa na bure
Hawa laki 3 wanaokuja ni ma tycoon tupu.. Watakaobaki ama watakaorudi kuwekeza hawawezi kupungua elfu 5 mpaka 10
Ni wakati wa kulisimamia taifa kizalendo zaidi na kuepuka vizawadi vya tv na simu

Waliopo Tanganyika tayari wanahodhi ma ardhi makubwa ya hekari nyingi sana kwa mkataba wa miaka 99.. Hivi ni vizazi vitatu.. Wanaokuja nao watapita humohumo
Je baada ya hiyo miaka 99 tutakuwa tumebakiwa, tumebakishiwa nini?
Mpango huu wa kuwaleta wachina wengi kiasi hiki kwa ajili ya fursa za uwekezaji na biashara hauna afya sana kwa taifa kama tusipokuwa makini sana
Hawa wanaletana na kuja kufanya makazi ya kudumu huku wakipora kila kitu chetu kizuri.. Baada ya vizazi vitatu tutakuwa na taifa gani?
Nitatejea
Mpango wa China ni kuhakikisha by 2050 Afrika iwe na Wachia milioni 500 wakati ninyi hamna mkakati wowote ule wakuhakikisha mna exist
 
Kama nchi imeona njia ya kujikimu kiuchumi ni mikopo na kuleta wawekezaji wa nje ambao kwa kila namna wanaangalia namna ya kuingia mikataba itakayowafaidisha wao zaidi kuliko sisi .

TULISHAFELI KAMA TAIFA , yaani inashindikana vipi kujifunza kwa walioweza kukuza uchumi sa nchi zao bila kutegemea kubebwa bebwa? Gadaffi aliweza vipi kuinyanyua libya mpaka ilipofikia hatua ya kutokuwa na masikini hata mmoja nchini kwa kutegemea mafuta pekee? Najua kuna watu watasema oooo mafuta yana mzunguko mkubwa kuliko rasilimali tulizokuwa nazo haya "seretse khama" raisi wa kwanza wa botswana aliweza vipi kuinyanyua nchi yake bila kutegemea wawekezaji wa nje na mikopo na ukiangalia alipokea nchi kutoka kwa wakoloni ikiwa na 90% wasio na elimu ambao wengi ni wafugaji na wakulima? Tulifeli wapi?

N.b
Ndiyo maana sipendi kabisa kufuatilia siasa za bongo maa a ghadhabu niliyonayo basi tu.
 
Mpango wa China ni kuhakikisha by 2050 Afrika iwe na Wachia milioni 500 wakati ninyi hamna mkakati wowote ule wakuhakikisha mna exist
Hili ni kweli though kuna wanaosema ni conspiracy theory ila inakuwa backed up na taarifa walizotoa wachina hivi karibuni kwamba walipopima dna za watu wao wamekuta wana vinasaba vya watu waafrika so kuna chokochoko la kutaka kurudi kwenye motherland.
 

Attachments

  • Screenshot_20250111_062015_Opera.jpg
    Screenshot_20250111_062015_Opera.jpg
    247.3 KB · Views: 1
Ni ugeni mkubwa mwaka huu.. Maandalizi ni mengi na ni makubwa lakini yanayofanywa kwa siri kubwa sana hasa na wachina wenyewe
Madalali wa kichina tayari wako nchini wakizisaka fursa na kuzishikilia, mashushushu wa kichina pia ni wengi mno
Mahoteli yananunuliwa kwa kasi ya ajabu
Migodi hivyohivyo
Ardhi na kila eneo lenye hela vyote sasa hivi wachina wanajibebea kwa bei sawa na bure
Hawa laki 3 wanaokuja ni ma tycoon tupu.. Watakaobaki ama watakaorudi kuwekeza hawawezi kupungua elfu 5 mpaka 10
Ni wakati wa kulisimamia taifa kizalendo zaidi na kuepuka vizawadi vya tv na simu

Waliopo Tanganyika tayari wanahodhi ma ardhi makubwa ya hekari nyingi sana kwa mkataba wa miaka 99.. Hivi ni vizazi vitatu.. Wanaokuja nao watapita humohumo
Je baada ya hiyo miaka 99 tutakuwa tumebakiwa, tumebakishiwa nini?
Mpango huu wa kuwaleta wachina wengi kiasi hiki kwa ajili ya fursa za uwekezaji na biashara hauna afya sana kwa taifa kama tusipokuwa makini sana
Hawa wanaletana na kuja kufanya makazi ya kudumu huku wakipora kila kitu chetu kizuri.. Baada ya vizazi vitatu tutakuwa na taifa gani?
Nitatejea
Kama ni kweli tupo pabaya mno.
Ni bora kubaki na umasikini wetu kuliko kugeuzwa manamba kwenye ardhi yetu wenyewe
 
Wachina wakiwa wengi nchi yoyote wanaeka police center yao walianza marekan ila kule wanajielewa wakawafatilia,,,wakaja Zambia sasa wanajuta huko baadhi ya restaurant wao wanawabagua waziwazi, hawa watu wanampango wa kuitawala Africa siku moja,,, hawa wafungwa walioletwa kujenga wanaacha damu zao maksud ili baadae iwe rahisi kutawala,,,huko Uganda wanaona sifa kuzaa nao huku pia baadhi ya maeneo kuna blasians
 
Back
Top Bottom