Ujinga wa mabrother wa zamani

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Aug 6, 2020
5,207
11,765
Raha ya ujinga ni kushare na wenzako kama ambavyo nami nashare huu ujinga na nyinyi.

Ilikuwa way back nakumbuka tuko shule ya msingi,ilikuwa kitaani kwetu kwa washua katika kota za wafanyakazi wa Chuo cha CCM Lushoto Tanga.

Brother mmoja,kwa mujibu wa brother mwingine ambaye ni best yake,alisema kwamba huyo best yake alimfukuzia madam mmoja kwa mda mrefu sana, inaelekea alipata usumbufu sana kiasi ambacho alipanga akimpata basi kuna show atampa si ya nchi hii.

Sasa siku ikawadia kweli madam akaamua ambless huyo brother,kwakuwa ahadi ni deni basi mwamba akaamua atimeze ahadi yake, kama nilivyosema hapa awali hakuna jambo zuri kama kushare ujinga na wenzako.

Basi huyo brother naye akaona hawezi kufanya show bila mwenzake kushuhudia huo ujinga,akaacha sehemu ya dirisha wazi ili mwanae au brother mwenzake apige chabo.

Sasa huyu nae ambaye amealikwa ku-share ujinga akaona hapana,hawezi kuona ujinga peke yake akaamua kuja kwa jirani yake mmoja washee wote, kwa bahati nasi madogo tulikuwa maeneo hayo,nakumbuka ilikuwa mida kama ya saa mbili usiku hivi.

Ndio wote tukaona isiwe taabu, tukaone ujinga wa mabrother, tukafika eneo la tukio,tukaanza kupiga chabo, sasa naona katika movement ya kupishana kupiga chabo,madam akashtuka akamwambia mwamba kuna watu dirishani, so ikabidi brother aje ashushe pazia vizuri.

Hatukujua kama gemu iliendelea au laa,ninacho kumbuka kesho mida ya saa 4, naitwa darasani kuwa kuna brother anakuita, dah kwenda laa haula kumbe brother wa jana aliyekuwa na madam,akasema dogo najua jana nawe uliona tukio zima kwahiyo naomba upige kimya usimwambie mtu yoyote yule

Nikamwambia brother poa nimekuelewa, sasa najiuliza je, kati ya yule brother aliye mwalika mwenzake kucheki akimla madam na yule brother aliyemfuata brother mwengine wacheki game wote nani ni mjinga zaidi.

Je, mimi ninaye kuhadithia na wewe unayesoma nani mjinga?

Ni hayo tu!
 
Raha ya ujinga ni kushare na wenzako kama ambavyo nami nashare huu ujinga na nyinyi.

Ilikuwa way back nakumbuka tuko shule ya msingi,ilikuwa kitaani kwetu kwa washua katika kota za wa wafanyakazi wa Chuo cha Ccm Lushoto Tanga.

Brother mmoja,kwa mujibu wa brother mwingine ambaye ni best yake,alisema kwamba huyo best yake alimfukuzia madam mmoja kwa mda mrefu sana,inaelekea alipata usumbufu sana kiasi ambacho alipanga akimpata basi kuna show atampa si ya nchi hii.

Sasa siku ikawadia kweli madam akaamua ambless huyo brother,kwakuwa ahadi ni deni basi mwamba akaamua atimeze ahadi yake,kama nilivyosema hapa awali hakuna jambo zuri kama kushare ujinga na wenzako

Basi huyo brother naye akaona hawezi kufanya show bila mwenzake kushuhudia huo ujinga,akaacha sehemu ya dirisha wazi ili mwanae au brother mwenzake apige chabo

Sasa huyu nae ambaye amealikwa kushare ujinga akaona hapana,hawezi kuona ujinga peke yake akaamua kuja kwa jirani yake mmoja washee wote,kwa bahati nasi madogo tulikuwa maeneo hayo,nakumbuka ilikuwa mida kama ya saa mbili usiku hivi.

Ndio wote tukaona isiwe taabu,tukaone ujinga wa mabrother,tukafika eneo la tukio,tukaanza kupiga chabo,sasa naona katika movement ya kupishana kupiga chabo,madam akashtuka akamwambia mwamba kuna watu dirishani,so ikabidi brother aje ashushe pazia vizur

Hatukujua kama gemu iliendelea au laa,ninacho kumbuka kesho mida ya saa,naitwa darasani kuwa kuna brother anakuita,dah kwenda laa haula kumbe brother wa jana aliyekuwa na madam,akasema dogo najua jana nawe uliona tukio zima kwahiyo naomba upige kimya usimwambie mtu yoyote yule

Nikamwambia brother poa nimekuelewa,sasa najiuliza je,kati ya yule brother aliye mwalika mwenzake kucheki akimla madam na yule brother aliye mfuata brother mwengine wacheki game wote nani ni mjinga zaidi

Je mimi ninaye kuhadithia na wewe unayesoma nani mjinga?


Ni hayo tu!
Nyie ndo mmefanya vijana wa sasa hivi tunateseka. Wakati huo mnakata mauno yenu na kuendekeza ujinga vijana wa Malaysia, Singapore, Dubai na South Korea wanajituma kufanya kazi nakuweka mipango bna mustakabali thabit ya baadaye kwa mataifa yao.

Mmemfanya kina dogo Chaliifrancisco kuwa hopeless kabisa huko malishoni wanapochunga mbusii
 
Nyie ndo mmefanya vijana wa sasa hivi tunateseka. Wakati huo mnakata mauno yenu na kuendekeza ujinga vijana wa Malaysia, Singapore, Dubai na South Korea wanajituma kufanya kazi nakuweka mipango bna mustakabali thabit ya baadaye kwa mataifa yao.

Mmemfanya kina dogo Chaliifrancisco kuwa hopeless huko malishoni wanapochunga mbusii
🤣🤣🤣
 
Nyie ndo mmefanya vijana wa sasa hivi tunateseka. Wakati huo mnakata mauno yenu na kuendekeza ujinga vijana wa Malaysia, Singapore, Dubai na South Korea wanajituma kufanya kazi nakuweka mipango bna mustakabali thabit ya baadaye kwa mataifa yao.

Mmemfanya kina dogo Chaliifrancisco kuwa hopeless kabisa huko malishoni wanapochunga mbusii
😂😂
 
Enzi zetu hapa ndani ilikua ni kulana kimya na polepole bila kelele.
Skuizi hayo mambo yalisababisha hata humu vijana wa hovyo wakizawadiwa nunu wanaanza kuwatangaza member, mwisho wa siku Ke wanatuona wanaume wote wa humu Kenge tu...☹️
 
Badala ya kuanzisha vagi wewe ukawa unapiga chabo😂😂
Alikuwa beki tatu nyumbani baadaye wakashindwana na bi mjengo ,akaondoka ndiyo kwenda keko ,nikawa naenda tunapiga story ila katu tunda sipewi .

Siku nikaibuka magetoni kwao ndiyo nawakuta wahuni wanakula chabo nikasema wacha na Mimi nile chabo ,la haula ni mtoa bikira wangu Yuko anapelekewa fire ,nikaumia ila ukicheki njema inayompelekea Moto imejaziana minyama .

Sasa Mimi mtoto wa maghorofani nifanye nini zaidi ya kuangalia na kuchukua ujuzi mpya ikiwa nitajaaliwa tena .
 
Back
Top Bottom