Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,038
- 55,914
Kwa kweli aliyekuja na mpango wa kupanua ujenzi wa Mwendokasi sijui kama alizingatia mipango ya awali ya namna jiji lenyewe lilivyo.
Inaonekana kilichofanyika ni kujaribu kuleta plan mpya juu ya plan ya zamani kabla hata ya kufanya mabadiliko makubwa ktk plan ya zamani.
Leo barabara za zamani zinaminywa ukubwa ili kujenga mwendokasi. Matokeo yake ni kuwa unaminya flow ya magari binafsi ili kutoka nafasi kwa magari ya kampuni moja ya mwendokasi, maana magari binafsi hayaruhusiwi kutumia njia ya mwendokasi. Hii kamwe haitotatua tatizo la misongamano ya magari bali inaweza kuzidisha.
Kibaya zaidi ktk kuminya barabara za magari ya kawaida, hata space kwa ajili ya watembea kwa miguu inakosekana. Hii ni disasater.
Ukiachilia mbali hilo, unakuta mavituo ya mwendokasi ni makuuubwa kwelikweli, sasa sijui unatengeneza kituo kikubwa cha mwendokasi ili iweje. Haya ni matumizi mabaya ya pesa
Ukienda mjini huko Posta, mwendokasi eti mwendokasi nayo imepenyezwa kwenye kipande cha barabara ya Tanganyika library na Posta, halafu kuna likituo likuuubwa pale wakati tayari posta ya zamani kuna likituo lingine kwa magari yanayotokea Ferry. Hii ni ajabu sana.
Hebu sasa serikali ifikirie kujenga Subways na Metro jijini Dar. Hiyo inaweza kuwa effective zaidi kuliko haya mabarabara ya mwendokasi kila sehemu
Inaonekana kilichofanyika ni kujaribu kuleta plan mpya juu ya plan ya zamani kabla hata ya kufanya mabadiliko makubwa ktk plan ya zamani.
Leo barabara za zamani zinaminywa ukubwa ili kujenga mwendokasi. Matokeo yake ni kuwa unaminya flow ya magari binafsi ili kutoka nafasi kwa magari ya kampuni moja ya mwendokasi, maana magari binafsi hayaruhusiwi kutumia njia ya mwendokasi. Hii kamwe haitotatua tatizo la misongamano ya magari bali inaweza kuzidisha.
Kibaya zaidi ktk kuminya barabara za magari ya kawaida, hata space kwa ajili ya watembea kwa miguu inakosekana. Hii ni disasater.
Ukiachilia mbali hilo, unakuta mavituo ya mwendokasi ni makuuubwa kwelikweli, sasa sijui unatengeneza kituo kikubwa cha mwendokasi ili iweje. Haya ni matumizi mabaya ya pesa
Ukienda mjini huko Posta, mwendokasi eti mwendokasi nayo imepenyezwa kwenye kipande cha barabara ya Tanganyika library na Posta, halafu kuna likituo likuuubwa pale wakati tayari posta ya zamani kuna likituo lingine kwa magari yanayotokea Ferry. Hii ni ajabu sana.
Hebu sasa serikali ifikirie kujenga Subways na Metro jijini Dar. Hiyo inaweza kuwa effective zaidi kuliko haya mabarabara ya mwendokasi kila sehemu