USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,878
- 26,106
Baada ya matokeo kutangazwa Leo Tarehe 29.01.2023 , na mie kama Mwl Mzoefu nimeona nitoe mtazamo wangu unaobezi katika Matokeo...Kama nimekosea ni ruhusa nikosolewe...

1. Ukionaa shule ina div I zote ni za point 7 na A kwa masomo yote ujue hao ni majasusi wa elimu, kifupi shule hizi zinahatarisha Maendeleo ya nchi kiujumla na zinafundisha wizi wa hali ya juu...hata ofisini ukiajiri mwanafumzi aliyetoka shule hizi jiandae kulia na kupata hasara ( Binafsi hawa huwa sishughuliki nao kwanza ni wabaguzi hata kwa wanafunzi wenye uwezo mdogo, japo katika tafiti zangu wazazi wengi wengi wanazipenda shule hizi...hasa wazazi ambao hawajasoma)
2. Ukionaa shule ina div I nyingi na div II chache ujue walimu na wanafunzi kwa pamoja wanapambana sana ila nao wanatamani siku moja wapate matokeo kama ya majasusi wa Elimu.
3. Ukiona shule ina div I,II, na III ujue walimu na wanafunzi wanajitahidi kwa uwezo wao waliopewa na Mwenyezi Mungu ila nature imewakatalia..(Kiasili binadamu hatuwezi lingana kiuwezo hasa katika dhana ya kufikiria na matumizi ya ubongo ndio maana umeona madaraja hayo matatu yametokea)
4. Ukiona shule ina div I, II , III, IV na div 0 ujue hiyo shule haina wizi hata kidogo yaana kila mwanafunzi amebebwa na juhudi zake..( Mtu aliyesoma kwenye shule hizi anafaa sana kuajiriwa maana anafahamu binadamu Kwa asili yetu hatulingani kiuwezo )
5. Ukiona shule haina div I Wala div II ila ina div IV na 0 nyingi sana na div III chache sana au hakuna kabisa div III ujue hiyo shule wamekutana mabaharia wote yaani walimu na Wanafunzi wote ni masela..., Ndio maana wakuu wa shule hizo uwa wanaondolewa chini wote....


NOTE: Kikawaida na kihalali shule inatakiwa iwe na division I na 0 chache Kwa sababu mstari unaotenganisha mtu mwenye akili nyingi na mjinga ni mwembamba sana....japo mnaweza msinielewa na maanisha nini hapa ..!! Jitihadi za makusudi ndo zinaweza kuvunja uwiano huu...yaani ukakuta shule ina div I nyingi (ila zisiwe div I za point Saba zote) au div 0 nyingi zaidi.
Ukiona shule ina div I zote za point 7 (na wana A zote) au ina div O zote..nakushauri omba ushauri kwanza kabla kufanya maamuzi ya kumpeleka mwanao kusoma*
*Mtazamo wa Mwl Kabola, Shija F.___Bwiru Boyz Technical Sec School_Mwanza..
C&P
Sent using Jamii Forums mobile app


1. Ukionaa shule ina div I zote ni za point 7 na A kwa masomo yote ujue hao ni majasusi wa elimu, kifupi shule hizi zinahatarisha Maendeleo ya nchi kiujumla na zinafundisha wizi wa hali ya juu...hata ofisini ukiajiri mwanafumzi aliyetoka shule hizi jiandae kulia na kupata hasara ( Binafsi hawa huwa sishughuliki nao kwanza ni wabaguzi hata kwa wanafunzi wenye uwezo mdogo, japo katika tafiti zangu wazazi wengi wengi wanazipenda shule hizi...hasa wazazi ambao hawajasoma)
2. Ukionaa shule ina div I nyingi na div II chache ujue walimu na wanafunzi kwa pamoja wanapambana sana ila nao wanatamani siku moja wapate matokeo kama ya majasusi wa Elimu.
3. Ukiona shule ina div I,II, na III ujue walimu na wanafunzi wanajitahidi kwa uwezo wao waliopewa na Mwenyezi Mungu ila nature imewakatalia..(Kiasili binadamu hatuwezi lingana kiuwezo hasa katika dhana ya kufikiria na matumizi ya ubongo ndio maana umeona madaraja hayo matatu yametokea)
4. Ukiona shule ina div I, II , III, IV na div 0 ujue hiyo shule haina wizi hata kidogo yaana kila mwanafunzi amebebwa na juhudi zake..( Mtu aliyesoma kwenye shule hizi anafaa sana kuajiriwa maana anafahamu binadamu Kwa asili yetu hatulingani kiuwezo )
5. Ukiona shule haina div I Wala div II ila ina div IV na 0 nyingi sana na div III chache sana au hakuna kabisa div III ujue hiyo shule wamekutana mabaharia wote yaani walimu na Wanafunzi wote ni masela..., Ndio maana wakuu wa shule hizo uwa wanaondolewa chini wote....



NOTE: Kikawaida na kihalali shule inatakiwa iwe na division I na 0 chache Kwa sababu mstari unaotenganisha mtu mwenye akili nyingi na mjinga ni mwembamba sana....japo mnaweza msinielewa na maanisha nini hapa ..!! Jitihadi za makusudi ndo zinaweza kuvunja uwiano huu...yaani ukakuta shule ina div I nyingi (ila zisiwe div I za point Saba zote) au div 0 nyingi zaidi.
Ukiona shule ina div I zote za point 7 (na wana A zote) au ina div O zote..nakushauri omba ushauri kwanza kabla kufanya maamuzi ya kumpeleka mwanao kusoma*
*Mtazamo wa Mwl Kabola, Shija F.___Bwiru Boyz Technical Sec School_Mwanza..
C&P
Sent using Jamii Forums mobile app