Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,469
- 13,549
Huu ndiyo ukweli kuwa Chadema ikisambaratika CCM itakuwa imara kuliko wakati wo wote tangu mfumo wa vyama vingi uanzishwe.
Ikitokea Mbowe akajitoa katika kinyang'anyiro cha kuwania tena kiti cha uenyekiti Taifa Chadema basi CCM itakuwa tumbo moto. Hii itawapa nguvu baadhi ya makada wa CCM kushinikiza fomu zaidi ya moja zitolewe kugombea uenyekiti wa Taifa CCM, kitendo ambacho kitatikisa umoja bandia unaoonekana hivi sasa.
Tundu Lissu akishinda nafasi ya uenyekiti wa Taifa Chadema, hakika CCM itakuwa hoi bin taaban kiasi vijana wengi wanaweza kuanzisha uasi na kupelekea CCM kudhoofika.
Endapo Mbowe atagombea uenyekiti wa Taifa Chadema na akashinda, CCM itapata hoja za kuibeza Chadema na wale machawa wa Samia watapata nguvu na kuwapiku wote wanaotaka mabadiliko ndani ya CCM!
Ikitokea Mbowe akajitoa katika kinyang'anyiro cha kuwania tena kiti cha uenyekiti Taifa Chadema basi CCM itakuwa tumbo moto. Hii itawapa nguvu baadhi ya makada wa CCM kushinikiza fomu zaidi ya moja zitolewe kugombea uenyekiti wa Taifa CCM, kitendo ambacho kitatikisa umoja bandia unaoonekana hivi sasa.
Tundu Lissu akishinda nafasi ya uenyekiti wa Taifa Chadema, hakika CCM itakuwa hoi bin taaban kiasi vijana wengi wanaweza kuanzisha uasi na kupelekea CCM kudhoofika.
Endapo Mbowe atagombea uenyekiti wa Taifa Chadema na akashinda, CCM itapata hoja za kuibeza Chadema na wale machawa wa Samia watapata nguvu na kuwapiku wote wanaotaka mabadiliko ndani ya CCM!