Teacher_Of_Teacherss
New Member
- Jan 9, 2024
- 3
- 5
Uhai ninini?🤔
Uhai ni muunganiko wa mwili na roho
Hivi viwili kimoja kikiwa kinaonekana na kingine kikiwa hakionekani, ungano lao kwa usahihi wake ndio huleta kitu kinaitwa UHAI
2. Kifo ni nini? 🤔
Kifo ni hali ya kukoma kwa uhai
Kivipi? 😳
Roho inapojitenga na kile kiunganishi
kingine kinachoitwa mwili ndio kifo
hutokea
Kifo na mauti ni kitu kimoja na ni
kile kile
3. Mwili ni nini? 🤔
Mwili ni kibebeo, ni jumba ni kasha tu yaani 😁
Na ndio roho huja na kukaa ili kukamilisha tendo la uhai
Na hivi viwili vikiwa pamoja
ndio hutengeneza kitu kinaitwa nafsi au utambulisho
4. Roho ni nini? 🤔
Roho ni nishati Roho haionekani, haina
umbo, haina sura, haina harufu
Hivyo vyote ni vya mwili Lakini ili viweze kufanya kazi vinahitaji roho
Roho pamoja na kuwa ni nishati lakini katika ndani ya mwili ni nishati yenye pumzi
Hapa lazima tuelewane kuna nishati
hazina pumzi
Sasa tusonge mbele Je kinachokufa ni
mwili, ni (nafsi) au ni roho? 🤔
Kwa tafsiri iliyozoeleka ya kibinadamu kinachokufa ni mwili
Kwanini mwili? 🤔
Kwakuwa ndio kinachoonekana ndio visible Ndio kilichoundwa ama kuumbwa
Kila kilichoumbwa huwa na kikomo ama ukomo wa kukua
Roho ni pumzi na ni nishati tu
Nishati wala pumzi havifi vilikuwepo vipo na vitakuwepo milele
Lakini kwa usahihi kinachokufa ni NAFSI yaani utambulisho wako wewe
Na ndio maana tunaambiwa kila nafsi itaonja MAUTI
Haisemwi mwili wala roho bali nafsi kwahiyo hata tunapofanya ibada na chochote kinachohusika na wafu tunadili na nafsi na sio mwili wala roho
Najua fika utasema mbona kuna roho mfu? 😳
Kiuhalisia hakuna roho mfu
Ufu wa roho ni ile hali ya mwili kutengana na roho na hapo ndio tunapata tafsiri mbili moja
ikiwa sahihi na nyingine ikiwa sio sahihi
Sahihi ni mwili mfu kwa kuwa baada ya kutengana na roho wenyewe huendelea kuharibika kuoza na hatimaye kupotea milele
Kinachobaki ni nafsi utambulisho ambao haupo tena bali historia yake tu
Roho hubaki ikisubiri kiama ama kuingia kwenye utaratibu mwingine ama kugeuka mzimu
Uhai ni muunganiko wa mwili na roho
Hivi viwili kimoja kikiwa kinaonekana na kingine kikiwa hakionekani, ungano lao kwa usahihi wake ndio huleta kitu kinaitwa UHAI
2. Kifo ni nini? 🤔
Kifo ni hali ya kukoma kwa uhai
Kivipi? 😳
Roho inapojitenga na kile kiunganishi
kingine kinachoitwa mwili ndio kifo
hutokea
Kifo na mauti ni kitu kimoja na ni
kile kile
3. Mwili ni nini? 🤔
Mwili ni kibebeo, ni jumba ni kasha tu yaani 😁
Na ndio roho huja na kukaa ili kukamilisha tendo la uhai
Na hivi viwili vikiwa pamoja
ndio hutengeneza kitu kinaitwa nafsi au utambulisho
4. Roho ni nini? 🤔
Roho ni nishati Roho haionekani, haina
umbo, haina sura, haina harufu
Hivyo vyote ni vya mwili Lakini ili viweze kufanya kazi vinahitaji roho
Roho pamoja na kuwa ni nishati lakini katika ndani ya mwili ni nishati yenye pumzi
Hapa lazima tuelewane kuna nishati
hazina pumzi
Sasa tusonge mbele Je kinachokufa ni
mwili, ni (nafsi) au ni roho? 🤔
Kwa tafsiri iliyozoeleka ya kibinadamu kinachokufa ni mwili
Kwanini mwili? 🤔
Kwakuwa ndio kinachoonekana ndio visible Ndio kilichoundwa ama kuumbwa
Kila kilichoumbwa huwa na kikomo ama ukomo wa kukua
Roho ni pumzi na ni nishati tu
Nishati wala pumzi havifi vilikuwepo vipo na vitakuwepo milele
Lakini kwa usahihi kinachokufa ni NAFSI yaani utambulisho wako wewe
Na ndio maana tunaambiwa kila nafsi itaonja MAUTI
Haisemwi mwili wala roho bali nafsi kwahiyo hata tunapofanya ibada na chochote kinachohusika na wafu tunadili na nafsi na sio mwili wala roho
Najua fika utasema mbona kuna roho mfu? 😳
Kiuhalisia hakuna roho mfu
Ufu wa roho ni ile hali ya mwili kutengana na roho na hapo ndio tunapata tafsiri mbili moja
ikiwa sahihi na nyingine ikiwa sio sahihi
Sahihi ni mwili mfu kwa kuwa baada ya kutengana na roho wenyewe huendelea kuharibika kuoza na hatimaye kupotea milele
Kinachobaki ni nafsi utambulisho ambao haupo tena bali historia yake tu
Roho hubaki ikisubiri kiama ama kuingia kwenye utaratibu mwingine ama kugeuka mzimu