Ugonjwa wa Dengue ni siasa na mradi wa mtu...

fiter

JF-Expert Member
Dec 3, 2013
1,144
78
Hivi mnaamini Dengue kweli ipo jiulize maswali haya...

1. Iliingia 2011 why madhara yaonekane kipindi ambacho kuna wish na ufisadi mbalimbali, na mikutano ya UKAWA

2. Kama kweli ni ugonjwa hatari na hauna dawa hao watu zaidi ya 400 wanaougua kwa nini wamekufa tu 4

3. Kuna taarifa kuna wasanii 2 walipewa mshiko mrefu wajitangaze wanaumwa Dengue ili watu waamini na hata yule doctor aliyekufa mimi ni ndugu yangu wa karibu ugonjwa wake tunaujua cku nyingi

5. Huu ni mradi wa, ndio maana hata mbinu za kujikinga ni very localy eti uvae nguo ndefu, what if uking'atwa usoni au akapenyeza miba kwenye nguo hujaupata tu hapo!
 
Dengue fever ipo na haina vaccination.

Sijui kama kuna mtu anataka kufanya biashara wakati watu wanakufa.

Hao unaowataja wamepewa fedha
Je huyo ndugu yako dr. Hakupewa mlungula??
 
Dengue fever ipo na haina vaccination.

Sijui kama kuna mtu anataka kufanya biashara wakati watu wanakufa.

Hao unaowataja wamepewa fedha
Je huyo ndugu yako dr. Hakupewa mlungula??

WENYE AKILI, WANAOJUA KUPAMBANUA MAMBO NA KUUNGANISHA MATUKIO WATANIELEWA ILA w.a.j.i.n.g.a wachache kama wewe na wengne wanaofaidi hyo hela watapinga
 
Halafu serikali imetenga milioni 200 kwa mkoa wa dar kununua test kits na kutoa elimu juu ya kinga..seriously..????.na kwanini hawajasema kwaajili ya kununulia dawa za kunywa na kupuliza nchi nzima.??hivi hayo mabasi yaendayo mkoa yanatozwa pesa kwa ajili ya upulizaji dawa au ni process ya bure.?? Km ni pesa kwanini watozwe na tena wanalazimisha..nchi haina bajeti ya vitu km hivi..najiuliza maswali sipati jibu
 
Greater thinker wenzangu hvi mnaamini dengue kweli ipo jiulize maswali haya
1.iliingia 2011 why madhara yaonekane kipindi ambacho kuna wizh na ufisadi mbalimbali, na mikutano ya ukawa
2..kama kweli ni ugonjwa hatari na hauna dawa hao watu zaidi ya 400 wanaougua kwa nini wamekufa tu 4
3..kuna taarifa kuna wasanii 2 walipewa mshiko mrefu wajitangaze wanaumwa dengue ili watu waamini na hata yule doctor aliyekufa mimi ni ndugu yangu wa karibu ugonjwa wake tunaujua cku nyingi
5..huu ni mradi wa WA , ndo mana hata mbinu za kujikinga ni very localy eti uvae nguo ndefu, what if uking'atwa usoni au akapenyeza miba kwenye nguo hujaupata tu hapo!

naunga mkono hoja
 
WENYE AKILI, WANAOJUA KUPAMBANUA MAMBO NA KUUNGANISHA MATUKIO WATANIELEWA ILA w.a.j.i.n.g.a wachache kama wewe na wengne wanaofaidi hyo hela watapinga

Ww ndo utakua MJINGA.
Unasubiri kuhusisha matokeo na kuleta pumba .

Umeleta uzi huu usitrajie kila mtu atakubaliana na ww.
Jibu hoja huyo dr. Umesema ni ndugu yako na amekufa kwa ugonjwa tofauti na taarifa zilizotolewa. Je familia yako ya wajinga mmepokoea rushwa ili kutoa taarifa potofu...

Kama unajiona ww ni mwerevu jitokeze kwny vyombo vya habari ukakanushe.
 
Ww ndo utakua MJINGA.
Unasubiri kuhusisha matokeo na kuleta pumba .

Umeleta uzi huu usitrajie kila mtu atakubaliana na ww.
Jibu hoja huyo dr. Umesema ni ndugu yako na amekufa kwa ugonjwa tofauti na taarifa zilizotolewa. Je familia yako ya wajinga mmepokoea rushwa ili kutoa taarifa potofu...

Kama unajiona ww ni mwerevu jitokeze kwny vyombo vya habari ukakanushe.

nasikia unapewa mshiko tugawane basiiiii
 
Greater thinker wenzangu hvi mnaamini dengue kweli ipo jiulize maswali haya
1.iliingia 2011 why madhara yaonekane kipindi ambacho kuna wizh na ufisadi mbalimbali, na mikutano ya ukawa
2..kama kweli ni ugonjwa hatari na hauna dawa hao watu zaidi ya 400 wanaougua kwa nini wamekufa tu 4
3..kuna taarifa kuna wasanii 2 walipewa mshiko mrefu wajitangaze wanaumwa dengue ili watu waamini na hata yule doctor aliyekufa mimi ni ndugu yangu wa karibu ugonjwa wake tunaujua cku nyingi
5..huu ni mradi wa WA , ndo mana hata mbinu za kujikinga ni very localy eti uvae nguo ndefu, what if uking'atwa usoni au akapenyeza miba kwenye nguo hujaupata tu hapo!

True....n kutumia akil ndogo katika kusolve tatizo kubwa!
 
Ww ndo utakua MJINGA.
Unasubiri kuhusisha matokeo na kuleta pumba .

Umeleta uzi huu usitrajie kila mtu atakubaliana na ww.
Jibu hoja huyo dr. Umesema ni ndugu yako na amekufa kwa ugonjwa tofauti na taarifa zilizotolewa. Je familia yako ya wajinga mmepokoea rushwa ili kutoa taarifa potofu...

Kama unajiona ww ni mwerevu jitokeze kwny vyombo vya habari ukakanushe.

Ajitokeze alafu mumtoe kucha bila ganzi?? Huwo ni mradi wa ccm alafu leo kwenye magazeti wanasema kuna nabii katokea anaponya huo ugonjwa!!? tena yeye anakupa juice tuu umepona hii nchi ya kusadikika hiii!!
 
Greater thinker wenzangu hvi mnaamini dengue kweli ipo jiulize maswali haya
1.iliingia 2011 why madhara yaonekane kipindi ambacho kuna wizh na ufisadi mbalimbali, na mikutano ya ukawa
2..kama kweli ni ugonjwa hatari na hauna dawa hao watu zaidi ya 400 wanaougua kwa nini wamekufa tu 4
3..kuna taarifa kuna wasanii 2 walipewa mshiko mrefu wajitangaze wanaumwa dengue ili watu waamini na hata yule doctor aliyekufa mimi ni ndugu yangu wa karibu ugonjwa wake tunaujua cku nyingi
5..huu ni mradi wa WA , ndo mana hata mbinu za kujikinga ni very localy eti uvae nguo ndefu, what if uking'atwa usoni au akapenyeza miba kwenye nguo hujaupata tu hapo!

Uelewa wako ni mdogo mno! Pia usirudia kutumia neno "greater thinkers wenzangu"
 
Uvivu wa kujisomea mbaya sana hata habari za gongo zinakuja humu, huu ugonjwa ulianza AD huko china na umejulikana zaidi 1780. Huko Brazil kuanzia mwaka 2000 mpaka 2013 waliougua ni zaidi ya milioni saba na huko ni mradi wa babu wa loliondo au
 
Uelewa wako ni mdogo mno! Pia usirudia kutumia neno "greater thinkers wenzangu"

toa fact na ushahidi kama mm otherwise wewe ni 1 wa hao wapumbavu wanaopewa hela na kudanganya umma
 
WENYE AKILI, WANAOJUA KUPAMBANUA MAMBO NA KUUNGANISHA MATUKIO WATANIELEWA ILA w.a.j.i.n.g.a wachache kama wewe na wengne wanaofaidi hyo hela watapinga

nenda mwaisela muhimbili ndio utajua dengue ipo haipo....!
 
nenda mwaisela muhimbili ndio utajua dengue ipo haipo....!

usibishe kitu bila fact
kama ipo na haina dawa ni wagonjwa wangapi wamekufa na hao mbu toka 2011 walikua wapi? Au waliwekwa wafunguliwe kipindi nchi ima misukosuko?
Kula hlo fungu ulilopewa taratibu ila usibishe tu kitu bila hoja unaonekana mjinga
 
Jamani nimesikia Yombo Buza-Kipera kuna nabii anatibu ugonjwa huu kwa Juisi

Source: Gazeti la Mwananchi Toleo namba5048, ISSN 0856-7573 la tarehe 19/05/2014 (Ukr1- ruka -mpaka Ukr4).

USHAURI

Acheni masihara kwenye masuala ya afya. Kama hauna ushahidi kaa kimya.
 
Back
Top Bottom