Ufaulu wa miaka hii

Los santos

JF-Expert Member
Jan 14, 2021
1,167
2,590
Hi ni ST Francis ya Mbeya hata miaka hiyo walikuwa wanapiga hizi one, lakini one za 7 hazikuwa nyingi kiasi hiki

Sasa hivi imekuwa too much...

Yaani Wanafunzi wote 91 wamepata one ya point 7... 🙌😄🤔
 

Attachments

  • FB_IMG_1737784505551.jpg
    FB_IMG_1737784505551.jpg
    183.4 KB · Views: 3
Kuna uwezekano mkubwa sana wanafunzi wote walikutana na zaidi ya asilimia 90 ya maswali ambayo wameshayafanyia mazoezi.

Swali ni ilikuaje walimu wakaweza kutabiri maswali kwa kiwango kikubwa hivyo? tena kwa masomo zaidi ya saba?

It's insane!
Aisee kazi kweli kweli....
Inabidi wawe wanapewa mtihani wao tofauti, huu umeshakuwa mwepesi sana kwao😆😆
Hahahahah
 
Hivi unafikiri kwa akili hizi za kibongo kuanzia waalimu, necta mpaka wizarani kuna ubunifu wowote?

Kuna watu waweza kutengeneza maswali mapya? Au ndio ile huwa wanabadilisha tu namba kwenye equations.

Hamna mitihai hapo ni maswali yale yale tu miaka zaidi ya 30
 
Hivi ni kitu gani cha ajabu hapo aisee.

Mbona ni kitu kinawezekana kabisa, maswali yenyewe ni yaleyale tu.
Nakumbuka **** level fulani nilianza kusoma two weeks before exams, ila ajabu maswali niliyoyakuta ni yale niliyohisi yatatoka na nikapasua fresh kabisa.

Sembuse hao wanaofanya hayo maswali almost 2 yrs before exams, acheni kujidharau namna hiyo.

Ina maana mleta uzi, ukiletewa maswali uliyoyafanyia kazi mwaka mzima bado hutusui....??
 
Huko o level ukiya master masomo ya sayansi vizuri na katika masomo ya art ukajua kuandika essay kupangilia na kuelezea points vizuri, tayari division one ipo nje nje.

Mimi nilikuwa naweza kuelezea point namkuna mwalimu mpaka pale kwenye point nilipoelezea mwalimu ana andika excellent kabla ya kuweka marks za jumla juu ya karatasi.

Nakumbuka wakati niko o-level nilikuwa nimezoea kuwa wa kwanza darasani katika kila muhula na katika kila mtihani uliokuwa mbele yangu. Matokeo ya monthly test yalikuwa yanaamua nani atakuwa wa kwanza katika muhula husika. Sasa kuna monthly test za muhula fulani kuna jamaa alikuwa amenikimbiza amenizidi mark 9 yeye anaenda kuwa wa kwanza na mimi wa pili na ilikuwa imebaki bado hatujafanya mtihani mmoja wa somo la history. Matokeo ya monthly test hiyo yaliwasisimua wanadarasa wakawa wanayafuatilia kama watanzania wanavyopenda kufuatilia matokeo ya Simba na yanga kwamba sasa mimi mbuyu ninaenda kuangushwa katika utawala wa kuwa kwanza darasani.

Nami nikaongeza umakini kufuatilia mtanange unavyoenda.Tulipokuja kufanya mtihani ule wa somo la history uliokuwa umebakia , mimi nikapata marks 95 na aliyenifuatia darasani alikuwa na marks 65 ikani-boost kwenye masomo mengine nikaibuka kidedea nikawa wa kwanza tena kidarasa. Niliweka heshima darasani kila mtu darasani akawa ana niheshimu.

Kuna chawa wangu darasani ambaye alikuwa anapenda kuniletea kila swali linalomtatiza nimsaidie kuli-solve , alinifata baada mtanange ule akaniambia "Kusoma ni kipaji sio kila mtu anacho . Wewe una kipaji sio cha kawaida aisee."
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mtoto wangu akipata foo ntajua kabisa DNA sio yangu nimepi
Huko o level ukiya master masomo ya sayansi vizuri na katika masomo ya art ukajua kuandika essay kupangilia na kuelezea points vizuri, tayari division one ipo nje nje.

Mimi nilikuwa naweza kuelezea point namkuna mwalimu mpaka pale kwenye point nilipoelezea mwalimu ana andika excellent kabla ya kuweka marks za jumla juu ya karatasi.

Nakumbuka wakati niko o-level nilikuwa nimezoea kuwa wa kwanza darasani katika kila muhula na katika kila mtihani uliokuwa mbele yangu. Matokeo ya monthly test yalikuwa yanaamua nani atakuwa wa kwanza katika muhula husika. Sasa kuna monthly test za muhula fulani kuna jamaa alikuwa amenikimbiza amenizidi mark 9 yeye anaenda kuwa wa kwanza na mimi wa pili na ilikuwa imebaki bado hatujafanya mtihani mmoja wa somo la history. Matokeo ya monthly test hiyo yaliwasisimua wanadarasa wakawa wanayafuatilia kama watanzania wanavyopenda kufuatilia matokeo ya Simba na yanga kwamba sasa mimi mbuyu ninaenda kuangushwa katika utawala wa kuwa kwanza darasani.

Nami nikaongeza umakini kufuatilia mtanange unavyoenda.Tulipokuja kufanya mtihani ule wa somo la history uliokuwa umebakia , mimi nikapata marks 95 na aliyenifuatia darasani alikuwa na marks 65 ikani-boost kwenye masomo mengine nikaibuka kidedea nikawa wa kwanza tena kidarasa. Niliweka heshima darasani kila mtu darasani akawa ana niheshimu.

Kuna chawa wangu darasani ambaye alikuwa anapenda kuniletea kila swali linalomtatiza nimsaidie kuli-solve , alinifata baada mtanange ule akaniambia "Kusoma ni kipaji sio kila mtu anacho . Wewe una kipaji sio cha kawaida aisee."
Kikubwa upo BOT kwa sasa we endelea kuchapa kazi😂
 
Back
Top Bottom