Ufanisi wa Rais ni watu waliomzunguka!

BOB LUSE

JF-Expert Member
Jan 25, 2014
3,736
3,196
Moja ya Eneo Muhimu la watu katika uongozi ni Wale unao onana nao Kila siku (Wanaokuzunguka) kama ni Machawa utafanya vituko vingi. Rais anapaswa kuzungukwa na vichwa vyenye Hekima ndio wa kumshauri sio Vijana ambao hawajawa tested na matukio, angalia waliofanya kazi na Nyerere/ Mkapa n.k.

Ukiwa Msomaji wa Biblia utakumbuka Mtoto wa Mfalme Suleimani, alivyoachiwa kiti Cha Ufalme, aliacha ushauri wa watu wenye hekima, akafuata vijana MACHAWA, Israel iligawanyika vipande.

Mama amezungukwa na kila kituko. Watu wa karibu wa Mama ni watu wa Hovyo.
 
Huyu wa sasa naona amechagua watu wengi wa hovyo kumzunguka! Sijui shida iko wapi!!
Mtu wa Kizimkaz atawajuaje watu wa bara, hii itakuws hivi awamu zote zijazo. Mgeni awezi kuwajua wenyeji wake, ataishia kuotea na kutengua tengua teuzi. Mwisho wa siku atabeba kiinua mgongo chake asepe atauachie msala.
 
Mfano issue ya Bandari,Wamasai,Vikokotoo,tozo,Mafuta ( Petrol na diesel ) asilimia kubwa ya wananchi hawajaridhika na misimamo ya Rais.naamini wanaouunga Mkono ni MACHAWA!
 
Back
Top Bottom