Azizi Walter
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 221
- 139
Habari wanajamii, kuna hii huduma ya lipa kwa namba, mwenye ufahamu naomba anifahamishe jinsi ya kuzipata zile line za lipa hapa na mwenye nazo anafaidika nazo vipi mteja pale anapolipia?
Ahsanteni sana, kwa mwenye ufahamu zaidi naomba ani pm.
Ahsanteni sana, kwa mwenye ufahamu zaidi naomba ani pm.