Adipoz
JF-Expert Member
- Jan 24, 2023
- 527
- 459
Siku ya kesho kunatarajiwa kuchezeshwa draw ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya, Europa pamoja na conference league.
Hivyo sio mbaya wadau wa soka tukajadiliana na kutoa mitizamo mbalimbali kuhusu nani atakutana na nani katika hatua ya robo Fainali ya ligi ya mabingwa ulaya.
TIMU ZILIZOFUZU.
1. Chelsea (England)
2. Benfica ( Portugal)
3. AC Milan ( Italy)
4. Bayern Munich ( Germany)
5. Inter Milan ( Italy)
6. Manchester city (England)
7. Real Madrid (Spain)
8. Napoli ( Italy)
UTABIRI WANGU
Man city vs AC Milan
Inter Milan vs Real Madrid
Bayern Munich vs Benfica
Napoli vs Chelsea
Mawazo yako ni yapi?
Hivyo sio mbaya wadau wa soka tukajadiliana na kutoa mitizamo mbalimbali kuhusu nani atakutana na nani katika hatua ya robo Fainali ya ligi ya mabingwa ulaya.
TIMU ZILIZOFUZU.
1. Chelsea (England)
2. Benfica ( Portugal)
3. AC Milan ( Italy)
4. Bayern Munich ( Germany)
5. Inter Milan ( Italy)
6. Manchester city (England)
7. Real Madrid (Spain)
8. Napoli ( Italy)
UTABIRI WANGU
Man city vs AC Milan
Inter Milan vs Real Madrid
Bayern Munich vs Benfica
Napoli vs Chelsea
Mawazo yako ni yapi?