Udhaifu Wa Bunge; nchi itaongozwa na kauli za watu wawili

Nibozali

JF-Expert Member
Oct 15, 2016
572
1,055
Kama bunge litaendelea kujisahau na kuangalia maslahi ya matumbo badala ya maslahi ya taifa, basi ni ukweli usiopingika kuwa nchi itaongozwa na kauli za watu wawili na hata hawa wabunge kazi yao itakuwa kupata mshahara na marupurupu siyo kuisimamia serikali tena. Count me
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…