Ni ajabu sasa, hezbolla wa mbagala anapoona Israel inashindwa vita. Labda kitu ninachoweza kukubaliana na wewe ni kwamba, ni kweli hezbolla wanapiga sana, jana tu wamerusha rocket 200 na hakuna madhara makubwa. Myahudi hawezi kusimamisha vita kama hezbollah wana uwezo huo, amejitoa mhanga kupigana nao hadi awadhoofishe. kama haujui, kuna rocket karibia 100,000 laki moja hezbolla wanazo, hizo wanazorusha mia mbili ni kidogo tu kati ya nyingi walizo nazo. bahati mbaya myahudi ana intelijensia kali sana, anachofanya ni kupiga kwenye magala wanayotunzia, na zinalipuka sana, na upande ule wa syria zinakoingilia amepiga bom barabara ikawa shimo magari hayaingii wala kutoka, hivyo kama kuingiza silaha labda wabebe kichwani.View attachment 3122727
aljazeeraenglish
The fact that the cumulative weight of bombs dropped on #Gaza exceeds that of those dropped during World War II is “extraordinary”, Will Hutton, political economist and journalist, tells Al Jazeera.
.
#Israel could not have done this without US military aid, but it could have “done substantial damage on their own”, he said, adding that it is a “militarised society” and a “militarised economy”.
.
However, he said the war has not benefitted the Israeli economy, which is “flatlining and may even be in a recession”.
.
He said almost everybody in Israel from the ages of 18 to 30 has either been called up or served in the military, which has led to a loss of manpower.
.
In contrast, he said, he could presume that the #US, which is supplying the weapons, is manufacturing them using private companies, which are making a profit from the war on Gaza.
.
🔗Tap the link in bio for 🔴 LIVE updates.
kwa hali hii kama wataingia kwenye vita kamili na Iran basi wazayuni watazidi kuaibika,itoshe tu kusema wanajitutumua sana ila hali ni tete
umepanic au lugha gongana!!!Ni ajabu sasa, hezbolla wa mbagala anapoona Israel inashindwa vita. Labda kitu ninachoweza kukubaliana na wewe ni kwamba, ni kweli hezbolla wanapiga sana, jana tu wamerusha rocket 200 na hakuna madhara makubwa. Myahudi hawezi kusimamisha vita kama hezbollah wana uwezo huo, amejitoa mhanga kupigana nao hadi awadhoofishe. kama haujui, kuna rocket karibia 100,000 laki moja hezbolla wanazo, hizo wanazorusha mia mbili ni kidogo tu kati ya nyingi walizo nazo. bahati mbaya myahudi ana intelijensia kali sana, anachofanya ni kupiga kwenye magala wanayotunzia, na zinalipuka sana, na upande ule wa syria zinakoingilia amepiga bom barabara ikawa shimo magari hayaingii wala kutoka, hivyo kama kuingiza silaha labda wabebe kichwani.
anachofanya ni kupiga maghala waliyohifadhia, na ameshapiga mengi na anaendelea kupiga na hiyo ndio justification ya israel kupiga Lebanon. in response ndio hezbollah wanarusha rocket 200 lakini they are not hat effective. ungekuwa wewe ungefanyeje, kama adui yupo jirani yako na ana roket laki moja ana mpango kurusha kwa wananchi wako, hata hivyo Mungu anaisaidia sana Israel, ilitakiwa iwe imeshaangamia kwa idadi ya rocket walizonazo hezbollah. na hicho ndicho kiburi alichokuwa nacho Hassan Nasraah, aliamini kwa rocket zile ataiangamiza israel, na Iran ndio kawapa hizo naye aliamini vijana wake wataiangamiza Israel. bahati mbaya israel itadumu ila wao wataangamia, its just a matter of time.
kwani Gaza bado kuna silaha za kurusha, si wamebaki na tuchache tu na hamas wamekufa karibia wote and soon watahamia westbank ili wapate sababu ya kujenga makazi mapya? Myahudi ana adhabu mbaya ambayo hata mimi siikubali, ukikamatwa gaidi zaidi ya kufungwa au kupigwa shaba, pia sheria inasema nyumba yako inatakiwa kuvunjwa. hivyo westbank sasaivi kuna majengo mengi yanavunjwa, na yakivunjwa ili ujenge lazima upate kibali toka kwao.
nilikuwa napanua ubongo wako, niliona upo so narrow. ni kwa faida yako. angeandika mtu mwingine mwenye akili nisingehitaji kufafanua yote hayo.umepanic au lugha gongana!!!
umeandika vitu tofati sana na nilivyoweka mimi hapo...israeli anapiga ghala za silaha za hezbollah huku hezbollah jana zimerushwa roketi 200 sasa hizo roketi zimetokea kigoma?
roketi 200 haziwezi kuleta madhara kama ripoti ya roketi hizo watazitoa wenyewe israel ila time ikifika kupata jicho huru la kutupa taarifa za hizo roketi basi utavunjika moyo
kwa mfano taarifa hii ya Al Jazeera kuhusu hali ya uchumi wa israel tangu avamie GAZA unaikubali au taarifa ya kupika?
Hio nchi hata ikalia kwa utulivu mark my words unless aache uhuni wake ila kwa alicho fanya hata kaa hapo ata avunje pabaki vumbi tupuNi ajabu sasa, hezbolla wa mbagala anapoona Israel inashindwa vita. Labda kitu ninachoweza kukubaliana na wewe ni kwamba, ni kweli hezbolla wanapiga sana, jana tu wamerusha rocket 200 na hakuna madhara makubwa. Myahudi hawezi kusimamisha vita kama hezbollah wana uwezo huo, amejitoa mhanga kupigana nao hadi awadhoofishe. kama haujui, kuna rocket karibia 100,000 laki moja hezbolla wanazo, hizo wanazorusha mia mbili ni kidogo tu kati ya nyingi walizo nazo. bahati mbaya myahudi ana intelijensia kali sana, anachofanya ni kupiga kwenye magala wanayotunzia, na zinalipuka sana, na upande ule wa syria zinakoingilia amepiga bom barabara ikawa shimo magari hayaingii wala kutoka, hivyo kama kuingiza silaha labda wabebe kichwani.
anachofanya ni kupiga maghala waliyohifadhia, na ameshapiga mengi na anaendelea kupiga na hiyo ndio justification ya israel kupiga Lebanon. in response ndio hezbollah wanarusha rocket 200 lakini they are not hat effective. ungekuwa wewe ungefanyeje, kama adui yupo jirani yako na ana roket laki moja ana mpango kurusha kwa wananchi wako, hata hivyo Mungu anaisaidia sana Israel, ilitakiwa iwe imeshaangamia kwa idadi ya rocket walizonazo hezbollah. na hicho ndicho kiburi alichokuwa nacho Hassan Nasraah, aliamini kwa rocket zile ataiangamiza israel, na Iran ndio kawapa hizo naye aliamini vijana wake wataiangamiza Israel. bahati mbaya israel itadumu ila wao wataangamia, its just a matter of time.
kwani Gaza bado kuna silaha za kurusha, si wamebaki na tuchache tu na hamas wamekufa karibia wote and soon watahamia westbank ili wapate sababu ya kujenga makazi mapya? Myahudi ana adhabu mbaya ambayo hata mimi siikubali, ukikamatwa gaidi zaidi ya kufungwa au kupigwa shaba, pia sheria inasema nyumba yako inatakiwa kuvunjwa. hivyo westbank sasaivi kuna majengo mengi yanavunjwa, na yakivunjwa ili ujenge lazima upate kibali toka kwao.
wasingekuwa na maendeleo yale. kama akiifuta hamas, akafuta hezbollah akafuta huthi na wakafuta iran (ambayo ipo kwenye chungu inapikwa soon itakuwa kama iraq), nani mwingine atakuwa tishio, na israel atamwacha tu aimarike ili aje awasumbue?Hio nchi hata ikalia kwa utulivu mark my words unless aache uhuni wake ila kwa alicho fanya hata kaa hapo ata avunje pabaki vumbi tupu
Hivi unajiskia uwezo wa kumaliza hivyo vikundi hana fuatilia tuu oparations za houth dhidi ya meli za UK na Us na hao ndio wababe wa dunia, ulete mrejesho hapa. Na tatizo lingine ni Mrusi nae ana maslahi yake apo kati hivyo hio ngoma ni. Mbichi kuliko unavyofikiria ngoja tuonewasingekuwa na maendeleo yale. kama akiifuta hamas, akafuta hezbollah akafuta huthi na wakafuta iran (ambayo ipo kwenye chungu inapikwa soon itakuwa kama iraq), nani mwingine atakuwa tishio, na israel atamwacha tu aimarike ili aje awasumbue?
mrusi usimtaje kabisa, hanaga msaada. alishaweka silaha na rada zake syria hata kabla Damascus haijawa magofu, lakini marekani na israel wamekuwa wakiingia na kupiga syria ambayo kwa sasa ni kama somalia tu. na mrusi yupo palepale.Hivi unajiskia uwezo wa kumaliza hivyo vikundi hana fuatilia tuu oparations za houth dhidi ya meli za UK na Us na hao ndio wababe wa dunia, ulete mrejesho hapa. Na tatizo lingine ni Mrusi nae ana maslahi yake apo kati hivyo hio ngoma ni. Mbichi kuliko unavyofikiria ngoja tuone
hii aliitoa zamani sana kabla hawajaingia Gaza. ilikuwa baada ya Biden kuwataka Israel wasiingie Gaza. mzayuni aligoma na alikuwa anamjibu biden hapo. sasaivi gaza ni magofu na harufu ya miili ya magaidi all over. upande wa lebanon, biden mwenyewe katoa go ahead. sijui kitatokea nini.
Kwa hiyo unataka kutuambia kwamba kwenye hivyo vita wenyewe Iran uchumi wao utaboreka maradufu zaidi au wewe unaendeshwa na mapepo ya udini kuandika.View attachment 3122727
aljazeeraenglish
The fact that the cumulative weight of bombs dropped on #Gaza exceeds that of those dropped during World War II is “extraordinary”, Will Hutton, political economist and journalist, tells Al Jazeera.
.
#Israel could not have done this without US military aid, but it could have “done substantial damage on their own”, he said, adding that it is a “militarised society” and a “militarised economy”.
.
However, he said the war has not benefitted the Israeli economy, which is “flatlining and may even be in a recession”.
.
He said almost everybody in Israel from the ages of 18 to 30 has either been called up or served in the military, which has led to a loss of manpower.
.
In contrast, he said, he could presume that the #US, which is supplying the weapons, is manufacturing them using private companies, which are making a profit from the war on Gaza.
.
🔗Tap the link in bio for 🔴 LIVE updates.
kwa hali hii kama wataingia kwenye vita kamili na Iran basi wazayuni watazidi kuaibika,itoshe tu kusema wanajitutumua sana ila hali ni tete
Sawa ngoja tusubirimrusi usimtaje kabisa, hanaga msaada. alishaweka silaha na rada zake syria hata kabla Damascus haijawa magofu, lakini marekani na israel wamekuwa wakiingia na kupiga syria ambayo kwa sasa ni kama somalia tu. na mrusi yupo palepale.
kuhusiana na hamas na hezb, wengi walisema israel hawezi kutia mguu gaza, atamalizwa. mnajua kilichotokea. wakaja kusema hatatia mguu lebanon, unajua kinachoendelea. wahuthi ni rahisi zaidi kwa sababu wapo mbali zaidi ya Israel, hata makombora yao kuyadaka ni raisi zaidi kuliko hayo yanayotoka mpakani kwa hezbolla. watu hatari zaidi kwa israel walikuwa hamas na hezbollah.
wakishanyong'onyezwa, ni rahisi kutowapa nafasi tena ya kujiimarisha. why? Israel iliingia makubaliano mengi kuwaruhusu kuwa huru ndio maana waliingiza silaha nyingi wakawa nazo. hawatawapa nafasi hiyo tena milele.
atakayebaki ni Iran, ambaye anajua kabisa, hezbollah wakipunguzwa nguvu, yeye atafuata na hatakuwa na vijana wa kumsaidia toka lebanon wala gaza. weka kumbukumbu comment hii.
Iran ana vikwazo ambavyo kama angewekewa Israeli basi Israeli ingekuwa kama Ethiopia...so hana cha kupoteza kama hawa israeli,USA na NATOKwa hiyo unataka kutuambia kwamba kwenye hivyo vita wenyewe Iran uchumi wao utaboreka maradufu zaidi au wewe unaendeshwa na mapepo ya udini kuandika.
Kwa nini na yeye asiwawekee vikwazo hao waliomuwekea hivyo vikwazo.Iran ana vikwazo ambavyo kama angewekewa Israeli basi Israeli ingekuwa kama Ethiopia...so hana cha kupoteza kama hawa israeli,USA na NATO